Yanga hongereni sana kwa hili

Damaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
3,978
Reaction score
6,739
Kwenye pita pita zangu nikakutana na habari kuwa Avic town ilipata ugeni kutoka tawi la watu wenye matatizo ya macho. Wanachana wa Young Africans ambao waliwatembelea wachezaji kambini na kuzungumza nao.
Your browser is not able to display this video.


Nimepata video fupi inayoonesha namna mpira unaweza kuwa sehemu ya upendo sana. Kwa hili Yanga mmeupiga mwingi. Hongera sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…