Yanga ianzishe chuo Cha mpira

Yanga ianzishe chuo Cha mpira

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Salaam wakuu
Katika pitapita zangu huku mjini Twitter + mtandao mingine nimeshuhudia watu mbalimbali wakijadili ubora wa benchi la Yanga ......kiasi Kwamba mbinu za Gamondi zatawala michuano ya AFCON.......Kiasi Kwamba wachezaji wa Yanga wayabeba mataifa mengi mfano ... Tanzania.( Mudathiri.)...mali (Diara) ....zambia ( musonda+ chama ....). Congo ( Mayele).....Kenya (abuya)

Je Kwanini Yanga wasianzishe chuo Cha soka Ili at least timu nyingine zipeleke players wao wakasome ....mfano ...Simba Ili wawe Mabingwa ....wakasome pale

NB: unadhani jina la chuo liwe Nini ....Mimi naona liwe Yanga University of football management?
1726050400708.jpg
 
Salaam wakuu
Katika pitapita zangu huku mjini Twitter + mtandao mingine nimeshuhudia watu mbalimbali wakijadili ubora wa benchi la yanga ......kiasi Kwamba mbinu za Gamondi zatawala michuano ya AFCON.......Kiasi Kwamba wachezaji wa Yanga wayabeba mataifa mengi mfano ... Tanzania.( Mudathiri.)...mali (Diara) ....zambia ( musonda+ chama ....). Congo ( Mayele).....Kenya (abuya)

Je Kwanini Yanga wasianzishe chuo Cha soka Ili at least timu nyingine zipeleke players wao wakasome ....mfano ...Simba Ili wawe Mabingwa ....wakasome pale

NB: unadhani jina la chuo liwe Nini ....Mimi naona liwe Yanga University of football management????

Salaam wakuu
Katika pitapita zangu huku mjini Twitter + mtandao mingine nimeshuhudia watu mbalimbali wakijadili ubora wa benchi la yanga ......kiasi Kwamba mbinu za Gamondi zatawala michuano ya AFCON.......Kiasi Kwamba wachezaji wa Yanga wayabeba mataifa mengi mfano ... Tanzania.( Mudathiri.)...mali (Diara) ....zambia ( musonda+ chama ....). Congo ( Mayele).....Kenya (abuya)

Je Kwanini Yanga wasianzishe chuo Cha soka Ili at least timu nyingine zipeleke players wao wakasome ....mfano ...Simba Ili wawe Mabingwa ....wakasome pale

NB: unadhani jina la chuo liwe Nini ....Mimi naona liwe Yanga University of football management????View attachment 3093269
umemmsahau mastermind khalid Aucho
 
Salaam wakuu
Katika pitapita zangu huku mjini Twitter + mtandao mingine nimeshuhudia watu mbalimbali wakijadili ubora wa benchi la Yanga ......kiasi Kwamba mbinu za Gamondi zatawala michuano ya AFCON.......Kiasi Kwamba wachezaji wa Yanga wayabeba mataifa mengi mfano ... Tanzania.( Mudathiri.)...mali (Diara) ....zambia ( musonda+ chama ....). Congo ( Mayele).....Kenya (abuya)

Je Kwanini Yanga wasianzishe chuo Cha soka Ili at least timu nyingine zipeleke players wao wakasome ....mfano ...Simba Ili wawe Mabingwa ....wakasome pale

NB: unadhani jina la chuo liwe Nini ....Mimi naona liwe Yanga University of football management?View attachment 3093269
Yanga raha sana.
 
Back
Top Bottom