Yanga ikifungwa Jumamosi natembea bila nguo

Yanga ikifungwa Jumamosi natembea bila nguo

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Kwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
 
Kwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
Utatembea bila nguo zote au baadhi ya nguo? Na utafanya hivyo ukiwa na akili timamu au utakuwa umepungukiwa akili kwa kufungwa???Mtani ondoa azma hiyo,vijana wanateleza kama kambale!
 
Kwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
Na uje hapa hapa utuonyeshe utupu wako. Lazima mkae Ngada FC
 
Kwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
Anza kabisa
 
Nikupe pole wewe uliyetolewa kwenye champions league
Bado nina.imani na Barcelona ila jiangalieni Napoli sio watu wazur msije shangaa BARCA anapita Madrid anakwenda nje
 
Back
Top Bottom