Yanga ikifungwa na el merrekh nipigwe ban

Yanga ikifungwa na el merrekh nipigwe ban

f443818f-1a67-4785-8d6e-0f60b06a47c5.jpg
 
Umetumwa, au!! Sasa ukipigwa hiyo ban yako tutapungukiwa nini humu jukwaani?

Mashabiki wote wa Yanga leo tunaitakia ushindi timu yetu, lakini wakati huo huo tunawaheshimu Al Merreikh.
Huyu kama hana akili basi katumwa...., hawa ndio wachawi wenyewe!
 
Umetumwa, au!! Sasa ukipigwa hiyo ban yako tutapungukiwa nini humu jukwaani?

Mashabiki wote wa Yanga leo tunaitakia ushindi timu yetu, lakini wakati huo huo tunawaheshimu Al Merreikh.
Ningekua mshabiki wa mpira ningekua na mtazamo kama wako mkuu heshima lazima iwepo ili muweze kushinda mechi
 
Naongezea....
Kesho makolo wakivuka kwenda robo fainali naomba nipigwe ban.
 
Back
Top Bottom