Kwa ID zako zote auIwapo yanga akifungwa Leo naomba nipigwe ban tu
Naomba na iwe hivyo tupungue kidogoIwapo yanga akifungwa Leo naomba nipigwe ban tu
Umetumwa, au!! Sasa ukipigwa hiyo ban yako tutapungukiwa nini humu jukwaani?Iwapo yanga akifungwa Leo naomba nipigwe ban tu
Huyu kama hana akili basi katumwa...., hawa ndio wachawi wenyewe!Umetumwa, au!! Sasa ukipigwa hiyo ban yako tutapungukiwa nini humu jukwaani?
Mashabiki wote wa Yanga leo tunaitakia ushindi timu yetu, lakini wakati huo huo tunawaheshimu Al Merreikh.
Kauli kama hizi ndio zinaletaga mikosi.Iwapo yanga akifungwa Leo naomba nipigwe ban tu
Ningekua mshabiki wa mpira ningekua na mtazamo kama wako mkuu heshima lazima iwepo ili muweze kushinda mechiUmetumwa, au!! Sasa ukipigwa hiyo ban yako tutapungukiwa nini humu jukwaani?
Mashabiki wote wa Yanga leo tunaitakia ushindi timu yetu, lakini wakati huo huo tunawaheshimu Al Merreikh.