Yanga ikifungwa na singida United angalizo

Ayo mambo yapo kule mbumbumbu fc sio yanga, Yanga bingwa mara 28 imesha shinda mechi nyingi na kufungwa pia, Yanga itaendelea kushinda na kufungwa pia huo ndio mpira.
Mashabiki lazima mpitie kipindi cha furaha na kipo kipindi cha huzun sio timu ikifungwa unaanza kukumbuka mishahara na bonus ulizo walipa wachezaji mara utishie kujivua uongozi iyo sio tafsiri halisi ya soka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Michezaji ya yanga wana vituko,dakika za mwanzo wanapoteza muda mrefu kucheza mchezo slow sana, wanapiga mapasi yasiyona msingi, wanapiga vyenga na show game isiyo na maana,wanajidondosha hovyo hovyo na wanalala muda mrefu kusubiri matibabu hata kama move ni ya kwao ,zikibaki dakika 5 ndio wanagutuka. Hawachezi kiushindani hawana uchu wa magoli hawajali muda, huyo UMAGA....MOLINGA jitu kuubwa lakini ni kujidodoshadodosha tuu ..sio muda wote unaopotea unafidiwa na refa
 
Gongo wazi huwa hawana uvumilivu sasa hivi tegemea bakora kutembea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…