SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Yaani hapa bando linakaribia kukata wala sishtuki, napanga kuongeza lingine fuleshi tuu.
Mechi ijayo mnacheza na nani? Mmesusaa hamtaki kunijibu? Hata msiponijibu najua mnaenda kudunguliwa tu hahah!
Soma Pia: FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |
Ushauri wangu, rudini tu katika sindano zenu. Mkidakwa itakuwa ajali kazini, uzuri tuna bosi mkuu, Rais wa vilabu vyoote vya chibuku atatulinda!
Mechi ijayo mnacheza na nani? Mmesusaa hamtaki kunijibu? Hata msiponijibu najua mnaenda kudunguliwa tu hahah!
Soma Pia: FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |
Ushauri wangu, rudini tu katika sindano zenu. Mkidakwa itakuwa ajali kazini, uzuri tuna bosi mkuu, Rais wa vilabu vyoote vya chibuku atatulinda!