Yanga ikikosa ubingwa inajiita mabingwa wa kihistoria hata Brazil hawajiiti hivyo

Yanga ikikosa ubingwa inajiita mabingwa wa kihistoria hata Brazil hawajiiti hivyo

mpimamstaafu

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
4,445
Reaction score
4,707
Hakika sasa nimejua kwanini Yanga wanajiita eti Mabingwa wa Kihistoria.Sababu kubwa ni pale Yanga ikikosa Ubingwa inaona ijifariji kwa kujiita eti Mabingwa wa kihistoria.

Nimefuatilia Vilabu vingi Duniani kama kipo klabu kinajiita hivyo Hakuna nimefuatilia Mataifa kama Brazil pamoja na kuchukua Ubingwa wa Dunia wanajiita Mabingwa wa kihistoria sijaona popote.

Yanga kama huna Ubingwa huna tu huna sababu ya kujiita eti Mabingwa wa kihistoria hakuna Bingwa wa Cheo hicho katika Kandanda.
 
Mkuu ni sawa kwa Ndala kujiita Mabingwa wa Kihistoria kwani ubingwa kwao wameshausahau umebakia historia tu.

Hawa ni Mabingwa wa Kihistoria na si Mabingwa wa Makombe.
 
Hakika sasa nimejua kwanini Yanga wanajiita eti Mabingwa wa Kihistoria.Sababu kubwa ni pale Yanga ikikosa Ubingwa inaona ijifariji kwa kujiita eti Mabingwa wa kihistoria.Nimefuatilia Vilabu vingi Duniani kama kipo klabu kinajiita hivyo Hakuna nimefuatilia Mataifa kama Brazil pamoja na kuchukua Ubingwa wa Dunia wanajiita Mabingwa wa kihistoria sijaona popote.Yanga kama huna Ubingwa huna tu huna sababu ya kujiita eti Mabingwa wa kihistoria hakuna Bingwa wa Cheo hicho katika Kandanda.
Awe bingwa, asiwe bingwa, ukweli huo utabaki hivyo hadi apatikane mwingine.

Bingwa wa kihistoria yupo kila nchi.
EPL yupo Man U. La liga yupo Real Madrid.
 
Awe bingwa, asiwe bingwa, ukweli huo utabaki hivyo hadi apatikane mwingine.

Bingwa wa kihistoria yupo kila nchi.
EPL yupo Man U. La liga yupo Real Madrid.
Wazungu hawana usenge huo wa kujiita eti mabingwa wa historia ni hapa hapa kwa waswahili wakikosa Ubingwa wanaonawajifariji hata kwa cheo ambacho hakipo
 
Wazungu hawana usenge huo wa kujiita eti mabingwa wa historia ni hapa hapa kwa waswahili wakikosa Ubingwa wanaonawajifariji hata kwa cheo ambacho hakipo
Wazungu hawana usenge na uzuzu wa ku kukataa appreciate historical champions.
Kila mpenda soka UK anajua Man United ndiyo historical champions. Cabinet yao imejaa vikombe kwa sababu hiyo. Kabla yao alikuwa ni Liverpool.
Al Ahly ni historical champions wa CAF. Hawaoni aibu kulisema kila wakati.
 
Mkuu mbona hadi kuna neno la most decorated? Hebu soma hapo Manu walipomtoa Liverpool. Tena kumbuka Liverpool alipoondolewa hakuwa amechukua kombe kwa muda gani.




Hakika sasa nimejua kwanini Yanga wanajiita eti Mabingwa wa Kihistoria.Sababu kubwa ni pale Yanga ikikosa Ubingwa inaona ijifariji kwa kujiita eti Mabingwa wa kihistoria.

Nimefuatilia Vilabu vingi Duniani kama kipo klabu kinajiita hivyo Hakuna nimefuatilia Mataifa kama Brazil pamoja na kuchukua Ubingwa wa Dunia wanajiita Mabingwa wa kihistoria sijaona popote.

Yanga kama huna Ubingwa huna tu huna sababu ya kujiita eti Mabingwa wa kihistoria hakuna Bingwa wa Cheo hicho katika Kandanda.
 
Hakika sasa nimejua kwanini Yanga wanajiita eti Mabingwa wa Kihistoria.Sababu kubwa ni pale Yanga ikikosa Ubingwa inaona ijifariji kwa kujiita eti Mabingwa wa kihistoria.

Nimefuatilia Vilabu vingi Duniani kama kipo klabu kinajiita hivyo Hakuna nimefuatilia Mataifa kama Brazil pamoja na kuchukua Ubingwa wa Dunia wanajiita Mabingwa wa kihistoria sijaona popote.

Yanga kama huna Ubingwa huna tu huna sababu ya kujiita eti Mabingwa wa kihistoria hakuna Bingwa wa Cheo hicho katika Kandanda.
Pole sana mkuu, ila ndiyo ukweli na ikiwezekana uwe na Panadol karibu unapo iwaza Yanga maana kichwa lazima kikuume
 
Wazungu hawana usenge huo wa kujiita eti mabingwa wa historia ni hapa hapa kwa waswahili wakikosa Ubingwa wanaonawajifariji hata kwa cheo ambacho hakipo
Hao watakuwa wazungu wa manzese,na sina uhakika kama huwa unafuatilia mpira
 
Back
Top Bottom