bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Hakika Yanga timu ya wananchi hawakupendezwa na droo waliyopata Simba dhidi ya Mbeya City mgongea msumari akiwa Tariq Seif pale uwanja wa Sokoine.
Baada ya gemu ile viongozi na wachezaji wa Yanga waliwafwata viongozi na wachezaji wa Simba na kuhakikisha watalipa kisasi, hii ilisaidia kupunguza machungu kwa Simba japo walikuwa wagumu kuamini.
Mchezaji mmoja wa Simba jimba kapuni alisema wale Mbeya City hawafai, wana balaa uwanjani, wanakimbia dakika 90 zote na pia wanapiga soka la kitabuni, Pro Nabi akawajibu tulieni.
Wote jana tumekuwa mashahidi Fistoni Kalala mayele kapiga goli mbili goli zote tamu kabisa na kazitoa kwa ajli ya Simba, hakika kuna baadhi ya washabiki wameishukuru sana Yanga
Ila kama vile wahenga walipata kusema, kwenye kila msafara wa mamba pia kenge lazima wawepo wapo, mashibiki wa timu tuliyoilipia kisasi wameendelea kuichukia Yanga
Hakika mfadhili mbuzi utakunywa supu, utakula nyama na kupata mbolea, pia atakuburudisha na mlio wake na siyo binadamu.
Baada ya gemu ile viongozi na wachezaji wa Yanga waliwafwata viongozi na wachezaji wa Simba na kuhakikisha watalipa kisasi, hii ilisaidia kupunguza machungu kwa Simba japo walikuwa wagumu kuamini.
Mchezaji mmoja wa Simba jimba kapuni alisema wale Mbeya City hawafai, wana balaa uwanjani, wanakimbia dakika 90 zote na pia wanapiga soka la kitabuni, Pro Nabi akawajibu tulieni.
Wote jana tumekuwa mashahidi Fistoni Kalala mayele kapiga goli mbili goli zote tamu kabisa na kazitoa kwa ajli ya Simba, hakika kuna baadhi ya washabiki wameishukuru sana Yanga
Ila kama vile wahenga walipata kusema, kwenye kila msafara wa mamba pia kenge lazima wawepo wapo, mashibiki wa timu tuliyoilipia kisasi wameendelea kuichukia Yanga
Hakika mfadhili mbuzi utakunywa supu, utakula nyama na kupata mbolea, pia atakuburudisha na mlio wake na siyo binadamu.