Kitambi chakufutia tachi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2019
- 1,063
- 2,566
Leo Yanga ilikuwa ikicheza na Mtibwa lakini katika mechi ikatokea offside upande wa Mtibwa ambayo haikuwa ya kweli lakini jambo hili halijawa gumzo sana.
Tukio lile ingelikuwa limetokea upande wa Simba nchi nzima ungesikia Simba Wanabebwa. VAR FC chezeni mpira acheni Malalamiko. VAR=Vyura Assistance Referee
Tukio lile ingelikuwa limetokea upande wa Simba nchi nzima ungesikia Simba Wanabebwa. VAR FC chezeni mpira acheni Malalamiko. VAR=Vyura Assistance Referee