Kitambi chakufutia tachi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2019
- 1,063
- 2,566
Kwani Yanga hawakuathiriwa na jambo kama hilo kwenye hiyo mechi?Leo Yanga ilikuwa ikicheza na Mtibwa lakini katika mechi ikatokea offside upande wa Mtibwa ambayo haikuwa ya kweli lakini jambo hili halijawa gumzo sana.
Tukio lile ingelikuwa limetokea upande wa Simba nchi nzima ungesikia Simba Wanabebwa. VAR FC chezeni mpira acheni Malalamiko. VAR=Vyura Assistance Referee
Simba kwa kuwa ni kweli wanahonga marefa na wachezaji wa timu pinzani....huu ndio ukweli., Simba nyie mashabiki mkileta fyoko fyoko tutaleta ushahidi....baachi ya viongozi wenu wanaujua mchezo huu na ndio maana hawazungumzii issue hiiLeo Yanga ilikuwa ikicheza na Mtibwa lakini katika mechi ikatokea offside upande wa Mtibwa ambayo haikuwa ya kweli lakini jambo hili halijawa gumzo sana.
Tukio lile ingelikuwa limetokea upande wa Simba nchi nzima ungesikia Simba Wanabebwa. VAR FC chezeni mpira acheni Malalamiko. VAR=Vyura Assistance Referee
Hivi,kule kubebwa kwa Yanga jana dhidi ya Mtibwa hujaona?Ata ukijaribu kutaka ku unganisha vimatukio vya ku ungaunga haiondoi habari ya Simba kubebwa. Yanga inapata matokeo kwa jasho na kupambana kiume.
Sent using Jamii Forums mobile app
Badala ya kutishia kutoa ushahidi, unatakiwa uutoe kwa uhalisi kabisa. Hii tabia ya kusema nitaleta ushahidi ni ya kisiasa hivi, toa ushahidi au msaidie Kabwili kutoa ushahidi. Dogo kaongea sasa anahangaika hadi amemsababishia presha bi mkubwaSimba kwa kuwa ni kweli wanahonga marefa na wachezaji wa timu pinzani....huu ndio ukweli., Simba nyie mashabiki mkileta fyoko fyoko tutaleta ushahidi....baachi ya viongozi wenu wanaujua mchezo huu na ndio maana hawazungumzii issue hii
Weka ushahidi acha mboyoyo! Yaani viongozi wa Yanga wawe na ushahidi wa jambo kama hilo eti walikalie kimya,haingii akiliniSimba kwa kuwa ni kweli wanahonga marefa na wachezaji wa timu pinzani....huu ndio ukweli., Simba nyie mashabiki mkileta fyoko fyoko tutaleta ushahidi....baachi ya viongozi wenu wanaujua mchezo huu na ndio maana hawazungumzii issue hii
Sawa. Ila weka pia kioo cha pili kwenye miwani yako uone penalti iliyonyimwa na kadi nyekundu juu pale Shaaban Kado alipomchomekea zote mbili (yaani kumkwatua kwa kumwelekezea njumu za viatu vyote viwili) Sibomana wakati akielekea kufunga.Hivi,kule kubebwa kwa Yanga jana dhidi ya Mtibwa hujaona?
Kama ilivyochambuliwa inayoitwa Offside ya Kagere,ambayo Simba ilishinda 3-2 dhidi ya Namungo ambayo kiuhalisia ilikua kweli ni tata,basi ukweli usemwe kuwa jana Mtibwa walisingiziwa kwa kuzuia mtu wao kufunga wakati alikua sehemu ambayo,hakua OFFSIDE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Sibomana yupo? Mbona siku hizi baridi sana?Sawa. Ila weka pia kioo cha pili kwenye miwani yako uone penalti iliyonyimwa na kadi nyekundu juu pale Shaaban Kado alipomchomekea zote mbili (yaani kumkwatua kwa kumwelekezea njumu za viatu vyote viwili) Sibomana wakati akielekea kufunga.
Vyura assistance Referee(VAR FC) at work
Ata ukijaribu kutaka ku unganisha vimatukio vya ku ungaunga haiondoi habari ya Simba kubebwa. Yanga inapata matokeo kwa jasho na kupambana kiume.
Sent using Jamii Forums mobile app