Yanga imebebwa leo dhidi ya Kagera Sukari

Ilo swali ungekua na akili ungejiuliza kipindi kile kagere anapewa penati baada ya kukwetuliwa nje
Yanga ni mechi nyingi msimu huu marefa wamechezesha kwa makosa mkafaidika nayo, Sisi Simba tunapiga kelele kuunga juhudi ili haya makosa ya marefa yaishe kama mlivyokua mmepiga kelele sana kipindi kile. Ko sio kwamba tunasema kwa kua nyie mnapendelewa ila tunachukia vitendo vya marefa
 
Kwani umeambiwa sina akili jiheshimu mzee uheshimiwe tujise kuharibiana siku. .. Na wewe kama ungekua na akili mngekua manaanzisha nyuzi kama hizi madudu kama hayo yakitokea na kwenye mechi zenu nyie mbumbumbu fc.

Mnakemea tu ikitokea kwa Yanga ila kwenu hamkemei, sasa hizo ni akili au ni unafki, hapa hatutetei Yanga kubebwa ila hoja ni kwamba why siku mkibebwa nyie hamuoengei wala kuanzisha nyuzi kama hizi ila ikitokea kwa Yanga ndio mnajikuta mnaumia sana.

Halafu unasema msimu huu Yanga wamenufaika na makosa ya marefa, unasahau nyie mikia mlivyokua mnabebwa acheni kujifanya mmesahau

Kidole kimoja kwa mwenzako vitatu kwako
 
Huu upuuzi haukubariki, haiwezekani uigharimu timu uje uombe msamaha kirahisi hivi
 
Huu upuuzi haukubariki, haiwezekani uigharimu timu uje uombe msamaha kirahisi hiviView attachment 1494000
huyu anatakiwa kufungiwa hata mwaka,inakatisha sana tamaa kwa timu iliyocheza vizuri kama kagera sugar tena kwa nidhamu wanafanyiwa uhuni kama ule,hata kama ni kubebwa ile ni ya wazi kabisa hata wasiojua soka wanaelewa
 
Wewe ni utopolo akili za utopolo tunazijua ni kama za mtoto wa mwisho
 
huyu anatakiwa kufungiwa hata mwaka,inakatisha sana tamaa kwa timu iliyocheza vizuri kama kagera sugar tena kwa nidhamu wanafanyiwa uhuni kama ule,hata kama ni kubebwa ile ni ya wazi kabisa hata wasiojua soka wanaelewa
Mwaka ni kifungo kidogo adhabu ya chini inayomfaa ni miaka 3
 
Wazee wa Mbeleko.. Eti aliyechezewa foul ndo anapewa kadi...Hata km mbeleko hii imezidi
 
Kununua mchezaji ni gharama sana kwa Yanga ila kununua refa ni jambo dogo sana kwao
 
hajaomba radhi wala nini hana makosa maamuzi sahihi kwa wakati sahihi.hiyo instagram mtu amefoji tu
 
Wazee wa Mbeleko.. Eti aliyechezewa foul ndo anapewa kadi...Hata km mbeleko hii imezidi
Tunakumbuka vizuri migoli ya offside ya Kagere na Bocco mechi za Namungo, Polisi,Mwadui pia mechi ya kwanza penalty ya Kagere
 
mech ya simba v/s azam gem ya simba v/s mwadui, simba v/s namungo, simba v/s yanga, simba v/s kmc gem za simba kubebwa waz waz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…