mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,707
Madereva wa bodabodaWadau Mabingwa wa kihistoria Yanga jana wameshinda mechi yao kwa kuifunga timu ya huko Morogoro magoli 10-1.Hakika ni ushindi mnono lakini je hiyo timu ni ya daraja la ngapi?
Bodaboda hawakufungwa kizembe, nao wmepenyeza kimoja kunako tigo!!!Madereva wa bodaboda
Ni kama Mashujaa tu ya KigomaWadau Mabingwa wa kihistoria Yanga jana wameshinda mechi yao kwa kuifunga timu ya huko Morogoro magoli 10-1.Hakika ni ushindi mnono lakini je hiyo timu ni ya daraja la ngapi?
Tulia tukutane ligi kuuAjabu eti balinyaaaa striker wao wa kimataifa amefunga ka goli kamoja!
Timu inamtegemea ngasa inajielewa kweli??
Ligi ikianza malalamiko buku!
Kwani Máshujaä fc na Green warrior ni timu za daraja gani?Wadau Mabingwa wa kihistoria Yanga jana wameshinda mechi yao kwa kuifunga timu ya huko Morogoro magoli 10-1.Hakika ni ushindi mnono lakini je hiyo timu ni ya daraja la ngapi?
Ngassa je ngapi?Ajabu eti balinyaaaa striker wao wa kimataifa amefunga ka goli kamoja!
Timu inamtegemea ngasa inajielewa kweli??
Ligi ikianza malalamiko buku!
Daraja la kwanzaKwani Máshujaä fc na Green warrior ni timu za daraja gani?
😂😂😂Bodaboda hawakufungwa kizembe, nao wmepenyeza kimoja kunako tigo!!!
Duh. Hii noma.
Ajabu eti balinyaaaa striker wao wa kimataifa amefunga ka goli kamoja!
Timu inamtegemea ngasa inajielewa kweli??
Ligi ikianza malalamiko buku!