Yanga imejipata, kuitazama Simba lazima uwe na msokoto wa bangi pembeni

Yanga imejipata, kuitazama Simba lazima uwe na msokoto wa bangi pembeni

Kurunzi

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
9,753
Reaction score
10,747
Yanga wapo kwenye kiwango bora cha maisha yao. Kweli itatuweka huru. Japo ni kweli iliyobeba gharama zenye hisia ya maumivu kwa mashabiki wa Simba.

Yanga wanacheza kitimu katika muunganiko uliotukuka. Wame copy na ku paste maisha ya 'siafu.' Hakuna kutegeana, timu ina morali kama haijawahi kushinda chochote.

Fighting spirit yao inakushawishi usadiki. Kama hakutatokea mauza uza ya VAR na figisu za marefa. Wanaweza kuileta ndoo ya CAF champions league Afrika Mashariki."

Simba inaonekana imechoka. Ikiwa inajitafuta ndani ya pori ambalo hakuna windo. Lini itajipata?! Linabaki kuwa swali gumu ambalo lipo katikati ya topic ambayo bado haijafundishwa.

Bado wiki ligi ianze Simba inahaha kutafuta striker.

Kusajili wachezaji wenye viwango vya kawaida. Wanaokuzwa na promo za "Ahmed Ally" siku ya Simba day. Huu umekuwa utaratibu ambao viongozi wameurasimisha uwe sehemu ya utamaduni wa klabu.

Moja kati ya kosa kubwa linaloigharimu simba sasa. Ni kucheza mechi za pre season ikiwa imejificha. Utafikiri inashiriki tendo la uzinifu au biashara ya kuuza ngada Misri.

Wangeonyesha mechi za pre season. Mashabiki tungeona mapema madhaifu ya timu na uwezo duni wa "Mukwala."

Tungepaza sauti asajiliwe mtu katili anapotazamana na uso wa goal. Huenda muda huu huyo striker angekuwa ameshaanza kuuzoea mfumo.

Acha tuwe na akiba ya maneno japo hakuna bank inayoruhusu mtu kufanya hivyo. Ila kuitazama simba ya sasa, inahitaji mtu uwe na msokoto wa bangi pembeni."
 
Yanga wapo kwenye kiwango bora cha maisha yao. Kweli itatuweka huru. Japo ni kweli iliyobeba gharama zenye hisia ya maumivu kwa mashabiki wa Simba.

Yanga wanacheza kitimu katika muunganiko uliotukuka. Wame copy na ku paste maisha ya 'siafu.' Hakuna kutegeana, timu ina morali kama haijawahi kushinda chochote.

Fighting spirit yao inakushawishi usadiki. Kama hakutatokea mauza uza ya VAR na figisu za marefa. Wanaweza kuileta ndoo ya CAF champions league Afrika Mashariki."

Simba inaonekana imechoka. Ikiwa inajitafuta ndani ya pori ambalo hakuna windo. Lini itajipata?! Linabaki kuwa swali gumu ambalo lipo katikati ya topic ambayo bado haijafundishwa.

Bado wiki ligi ianze Simba inahaha kutafuta striker.

Kusajili wachezaji wenye viwango vya kawaida. Wanaokuzwa na promo za "Ahmed Ally" siku ya Simba day. Huu umekuwa utaratibu ambao viongozi wameurasimisha uwe sehemu ya utamaduni wa klabu.

Moja kati ya kosa kubwa linaloigharimu simba sasa. Ni kucheza mechi za pre season ikiwa imejificha. Utafikiri inashiriki tendo la uzinifu au biashara ya kuuza ngada Misri.

Wangeonyesha mechi za pre season. Mashabiki tungeona mapema madhaifu ya timu na uwezo duni wa "Mukwala."

Tungepaza sauti asajiliwe mtu katili anapotazamana na uso wa goal. Huenda muda huu huyo striker angekuwa ameshaanza kuuzoea mfumo.

Acha tuwe na akiba ya maneno japo hakuna bank inayoruhusu mtu kufanya hivyo. Ila kuitazama simba ya sasa, inahitaji mtu uwe na msokoto wa bangi pembeni."
Kocha Fadlu Davids kasema bila striker mwenye uwezo asilaumiwe amegundua kwamba ligi ya Tanzania siyo lelemama, pia uwingi wa mashabiki uleee uklkuvamia itakuwaje
 
Kila siku mnasema Simba mbovu ila wakiacha mchezaji mnamchukua. Wachezaji wengine wa Simba wanatoka huko huko walikotoka miungu watu wenu kina Aziz Ki na Pacome na wanakuja wakiwa wamebeba status kama zao, MVP. Lini Yanga waliwahi kuwa na MVP kutoka ligi ya Nigeria?

Unalilia uonyeshwe mechi za pre-season live, nyie mechi zenu mnazochezaga Kimbiji lini ziliwahi kuonyeshwa live? Yaani Simba ikianza utaratibu fulani mnaubeza, ikiuacha au na nyie mkiuanza mnabeza kwa nini hafanyi, mnachekesha sana. Yaani kwenda South Africa msimu huu imekuwa nongwa wakati miaka ya karibuni Simba kila pre-season anakwenda nje na mechi zingine tunaona live ila mnakaaga kusema wanabeba ngada.
 
Ubovu wa timu sio kuwa na wachezaji wabovu tu, hata management, bench la ufundi, mazingira ya wachezaji, Bench la mazoezi ya viungo, kocha, na nk
Kila siku mnasema Simba mbovu ila wakiacha mchezaji mnamchukua. Wachezaji wengine wa Simba wanatoka huko huko walikotoka miungu watu wenu kina Aziz Ki na Pacome na wanakuja wakiwa wamebeba status kama zao, MVP. Lini Yanga waliwahi kuwa na MVP kutoka ligi ya Nigeria?

Unalilia uonyeshwe mechi za pre-season live, nyie mechi zenu mnazochezaga Kimbiji lini ziliwahi kuonyeshwa live? Yaani Simba ikianza utaratibu fulani mnaubeza, ikiuacha mnabeza kwa nini hafanyi, inafikirisha sana. Yaani kwenda South Africa msimu huu imekuwa nongwa wakati miaka ya karibuni Simba kila pre-season anakwenda nje na mechi zingine tunaona live ila mnasema wanabeba ngada.
 
Kila siku mnasema Simba mbovu ila wakiacha mchezaji mnamchukua. Wachezaji wengine wa Simba wanatoka huko huko walikotoka miungu watu wenu kina Aziz Ki na Pacome na wanakuja wakiwa wamebeba status kama zao, MVP. Lini Yanga waliwahi kuwa na MVP kutoka ligi ya Nigeria?

Unalilia uonyeshwe mechi za pre-season live, nyie mechi zenu mnazochezaga Kimbiji lini ziliwahi kuonyeshwa live? Yaani Simba ikianza utaratibu fulani mnaubeza, ikiuacha mnabeza kwa nini hafanyi, inafikirisha sana. Yaani kwenda South Africa msimu huu imekuwa nongwa wakati miaka ya karibuni Simba kila pre-season anakwenda nje na mechi zingine tunaona live ila mnasema wanabeba ngada.
Kama mechi zenu zinge onyeshwa live watu wangesha waeleza mapema shida ilipo, unaweza kuta mnamatatizo mengi zaidi ya yaliyobonekana Sasa na mkakosa muda wa kurekebisha.

Iyo ndio faida ya kujifungia ukiwa una cheza mechi Sasa ina bidi mlipie gharama za usiri.
 
Kama mechi zenu zinge onyeshwa live watu wangesha waeleza mapema shida ilipo, unaweza kuta mnamatatizo mengi zaidi ya yaliyobonekana Sasa na mkakosa muda wa kurekebisha.

Iyo ndio faida ya kujifungia ukiwa una cheza mechi Sasa ina bidi mlipie gharama za usiri.
Swali langu liko pale pale, mechi gani ya Yanga iliyofanyika kule Kimbiji iliwahi kuonyeshwa live? Yaani kwenda Afrika Kusini tu mnaanza kufundisha watu jinsi ya kucheza mechi za pre-season?

Hakuna mwanasimba anayelia kwa nini hakuonyeshwa mechi za pre-season.
 
Ubovu wa timu sio kuwa na wachezaji wabovu tu, hata management, bench la ufundi, mazingira ya wachezaji, Bench la mazoezi ya viungo, kocha, na nk
Bandiko lako limeongelea wachezaji hadi kusema inabidi uwe umevuta bangi kuwaangalia. Hayo siyo maneno yanayosemwa na mtu anayedhani wachezaji ni wazuri ila management na uimara wa vitanda wanavyolala wachezaji ndiyo tatizo.
 
Yanga wapo kwenye kiwango bora cha maisha yao. Kweli itatuweka huru. Japo ni kweli iliyobeba gharama zenye hisia ya maumivu kwa mashabiki wa Simba.

Yanga wanacheza kitimu katika muunganiko uliotukuka. Wame copy na ku paste maisha ya 'siafu.' Hakuna kutegeana, timu ina morali kama haijawahi kushinda chochote.

Fighting spirit yao inakushawishi usadiki. Kama hakutatokea mauza uza ya VAR na figisu za marefa. Wanaweza kuileta ndoo ya CAF champions league Afrika Mashariki."

Simba inaonekana imechoka. Ikiwa inajitafuta ndani ya pori ambalo hakuna windo. Lini itajipata?! Linabaki kuwa swali gumu ambalo lipo katikati ya topic ambayo bado haijafundishwa.

Bado wiki ligi ianze Simba inahaha kutafuta striker.

Kusajili wachezaji wenye viwango vya kawaida. Wanaokuzwa na promo za "Ahmed Ally" siku ya Simba day. Huu umekuwa utaratibu ambao viongozi wameurasimisha uwe sehemu ya utamaduni wa klabu.

Moja kati ya kosa kubwa linaloigharimu simba sasa. Ni kucheza mechi za pre season ikiwa imejificha. Utafikiri inashiriki tendo la uzinifu au biashara ya kuuza ngada Misri.

Wangeonyesha mechi za pre season. Mashabiki tungeona mapema madhaifu ya timu na uwezo duni wa "Mukwala."

Tungepaza sauti asajiliwe mtu katili anapotazamana na uso wa goal. Huenda muda huu huyo striker angekuwa ameshaanza kuuzoea mfumo.

Acha tuwe na akiba ya maneno japo hakuna bank inayoruhusu mtu kufanya hivyo. Ila kuitazama simba ya sasa, inahitaji mtu uwe na msokoto wa bangi pembeni."
Tena mbili moja ikizima nyingine ipo pembeni.
 
Yanga wapo kwenye kiwango bora cha maisha yao. Kweli itatuweka huru. Japo ni kweli iliyobeba gharama zenye hisia ya maumivu kwa mashabiki wa Simba.

Yanga wanacheza kitimu katika muunganiko uliotukuka. Wame copy na ku paste maisha ya 'siafu.' Hakuna kutegeana, timu ina morali kama haijawahi kushinda chochote.

Fighting spirit yao inakushawishi usadiki. Kama hakutatokea mauza uza ya VAR na figisu za marefa. Wanaweza kuileta ndoo ya CAF champions league Afrika Mashariki."

Simba inaonekana imechoka. Ikiwa inajitafuta ndani ya pori ambalo hakuna windo. Lini itajipata?! Linabaki kuwa swali gumu ambalo lipo katikati ya topic ambayo bado haijafundishwa.

Bado wiki ligi ianze Simba inahaha kutafuta striker.

Kusajili wachezaji wenye viwango vya kawaida. Wanaokuzwa na promo za "Ahmed Ally" siku ya Simba day. Huu umekuwa utaratibu ambao viongozi wameurasimisha uwe sehemu ya utamaduni wa klabu.

Moja kati ya kosa kubwa linaloigharimu simba sasa. Ni kucheza mechi za pre season ikiwa imejificha. Utafikiri inashiriki tendo la uzinifu au biashara ya kuuza ngada Misri.

Wangeonyesha mechi za pre season. Mashabiki tungeona mapema madhaifu ya timu na uwezo duni wa "Mukwala."

Tungepaza sauti asajiliwe mtu katili anapotazamana na uso wa goal. Huenda muda huu huyo striker angekuwa ameshaanza kuuzoea mfumo.

Acha tuwe na akiba ya maneno japo hakuna bank inayoruhusu mtu kufanya hivyo. Ila kuitazama simba ya sasa, inahitaji mtu uwe na msokoto wa bangi pembeni."
Mwanafasihi.
 
Back
Top Bottom