Yanga ina mpango wa kumsajili beki wa kulia wa Al Ahly

Yanga ina mpango wa kumsajili beki wa kulia wa Al Ahly

craq

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2017
Posts
859
Reaction score
1,866
Anaitwa mohamed Hany.

[emoji4][emoji39]
FB_IMG_15491911467075386.jpeg
FB_IMG_15491911664352607.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenifanya nicheke sanaa

I'm the girl from nowhere,... the one no one will miss .... that's why they choose me...[emoji97]
 
Aje awachezee Yanga kwenye hizi mechi zao na kina alikiba??
 
Jamaa fundi sana..anafanya nini Afrika
 
Jadirini goli kumi ktk Michezo miwili ya Yanga hamuyawezi,

Shimo alilochimba As vita mwarabu kalipanua sasa kila aina na size itapita bila shida
 
Wachezaji mnashindwa kuwalipa mishahara halafu mnawaza vitu vikubwa nyie saizi yenu ni kina Bobani
 
Back
Top Bottom