Kamgomoli
JF-Expert Member
- May 3, 2018
- 1,896
- 4,058
Yanga walifanya kosa kubwa kumwacha Gadiel ,na wakafanya kosa lingine la usajili mbovu wa beki wa kushoto.
Sonzo anamapungufu mengi sn kutokana na sifa anazotakiwa kuwa nazo beki wa pembeni kwa mpira wa kisasa anatakiwa awe na mbio,mwenye uwezo kupanda na kushuka,anaweza kupiga chenga, kumiliki mpira na kupiga cross.
Sonzo hana sifa hata moja kati ya hizo.Hajiamini na akipata mpira ni kubutua mbele bila hata kuangalia anampa nani.
Rollers walipogundua madhaifu yake walikuwa wanapitia kushoto na kuwafanya kina Yondani kupata wakati mgumu sana.Waliotazama mechi ya leo nazani mmeona.
Pia eneo la kiungo Shishimbi anajichanganya sana.
Hajui ni muda gani apandishe mashambulizi na muda gani arudi kukaba chini.
Hali inayopelekea eneo la katika kubaki na mwanya.
Pia viongo hawawezi kipiga pasi ni kubutuabutua tu.
Hakuna utulivu kabsa. Wakikutana na timu zinazozijielewa watapigwa nyingi sn.
Sonzo anamapungufu mengi sn kutokana na sifa anazotakiwa kuwa nazo beki wa pembeni kwa mpira wa kisasa anatakiwa awe na mbio,mwenye uwezo kupanda na kushuka,anaweza kupiga chenga, kumiliki mpira na kupiga cross.
Sonzo hana sifa hata moja kati ya hizo.Hajiamini na akipata mpira ni kubutua mbele bila hata kuangalia anampa nani.
Rollers walipogundua madhaifu yake walikuwa wanapitia kushoto na kuwafanya kina Yondani kupata wakati mgumu sana.Waliotazama mechi ya leo nazani mmeona.
Pia eneo la kiungo Shishimbi anajichanganya sana.
Hajui ni muda gani apandishe mashambulizi na muda gani arudi kukaba chini.
Hali inayopelekea eneo la katika kubaki na mwanya.
Pia viongo hawawezi kipiga pasi ni kubutuabutua tu.
Hakuna utulivu kabsa. Wakikutana na timu zinazozijielewa watapigwa nyingi sn.