vibesen xxx
JF-Expert Member
- Jul 23, 2022
- 3,187
- 6,620
Itoe simba kwenye ujinga wako mo ni mwanasiasaNyuma ya Mwarabu wa yanga anasimamia pesa za wanasiasa
Watanzania maskini wanakosa huduma, wanasiasa wanachota pesa kwenda kutakatisha kwenye timu ya yanga ili kupitisha ajenda zao za kisiasa
Kama ilivyo simba hata yanga hawezi kufanikiwa kimataifa
Nashangaa sana kila nikiona mwanamageuzi anayejitambua anayeshabikia Yanga. Kuna watu hawaielewi hii nchi vizuri.Nyuma ya Mwarabu wa yanga anasimamia pesa za wanasiasa
Watanzania maskini wanakosa huduma, wanasiasa wanachota pesa kwenda kutakatisha kwenye timu ya yanga ili kupitisha ajenda zao za kisiasa
Kama ilivyo simba hata yanga hawezi kufanikiwa kimataifa
Biashara za mo zinajulikana zilikotoka tangu enzi za mababu zake walangua korosho na ufuta. Huyo jiesiem ukiacha enzi zile za hom shoping cent unawaweza trace back walianzia wapi? Mana babake garib huyu unayemjua ni mwarabu wa songea alikuwa choka mbaya tuu.Ni sawa tu, hata akina Mo hao pesa wanayoendeshea Simba wanatoa wapi kama sio kukwepa kulipa kodi halali nk.
Siongelei source ila naongelea namna wanavyoendesha biashara zao kwa sababu hao hao utakuta wakati wa uchaguzi ndio tena wafadhili wa ccm baadaye lazima wapewe fadhila.Biashara za mo zinajulikana zilikotoka tangu enzi za mababu zake walangua korosho na ufuta. Huyo jiesiem ukiacha enzi zile za hom shoping cent unawaweza trace back walianzia wapi? Mana babake garib huyu unayemjua ni mwarabu wa songea alikuwa choka mbaya tuu.
Utajiri wa wa gsmm ni kama wa balesa tyu hauleweki ulikotokea hahahaq
Rudi kwenye comment yako, ulizuliza pesa wanatoa wapi? Hiyo ni kutaka kujua sourceSiongelei source ila naongelea namna wanavyoendesha biashara zao kwa sababu hao hao utakuta wakati wa uchaguzi ndio tena wafadhili wa ccm baadaye lazima wapewe fadhila.
Hata huyo Moo wako naye ni janja janja tu.Itoe simba kwenye ujinga wako mo ni mwanasiasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee mtu upoooo??? Uwiiiiiiih poleeeeeehHata huyo Moo wako naye ni janja janja tu.