Yanga inakwenda kutufufundisha jinsi ya kushangilia, basi kama la Liverpool lakodishwa afrika kusini, burudani ni next level, haijawahi kutokea

Ushamba na ulimbukeni ni mzigo sana

Kwasababu umenunua chupi ya Gucci kwa $200 umeona kuivaa ndani ya nguo watu hawawezi kujua kuwa nawewe unavaa vitu vya thamani mpaka ukaivaa nje kama superman?
Kolo acha makasiriko,ebu kunywa maji kwanza
 
Ushamba na ulimbukeni ni mzigo sana

Kwasababu umenunua chupi ya Gucci kwa $200 umeona kuivaa ndani ya nguo watu hawawezi kujua kuwa nawewe unavaa vitu vya thamani mpaka ukaivaa nje kama superman?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukame mbaya sana
 
Wanastahili miaka minne ni mingi sana kama mlibeba mapinduzi tu mkafanya fujo dar nzima mmeshinda kombe ni haki yenu.
Kumbe wewe ulipokaa miaka 5 bila kombe siyo habari au unajitia kusahau?
 
Hapo kwenye kupiga mpunga na kusoma dua ndipo akili zenu halisi, huku kwenye “bus kama la liverpool” ni akili za kuazima.
 
Ushamba na ulimbukeni ni mzigo sana

Kwasababu umenunua chupi ya Gucci kwa $200 umeona kuivaa ndani ya nguo watu hawawezi kujua kuwa nawewe unavaa vitu vya thamani mpaka ukaivaa nje kama superman?
Pole sana ni maisha tu
 
Hayo mambo yanaweza ku-matter ikiwa kombe ni either la mashindano ya CAFCL au CAFCC, kwa kombe hili la ligi ji kupoteza muda na wala habari haiwezi kwenda viral.

Namaanisha uwekezaji kwenye ushangiliaji wa aina hiyo ni zaidi hata ya hela mnazopata.
Unaumia?
 
Yanga wana haki ya kushangilia ubingwa kwa staili hiyo, maana waliukosa kwa miaka minne.

Simba walishasema kipau mbele chao ni kule CAF kwa wakubwa wenzao, hiki kikombe cha ndani washakinyanyua kwa miaka minne mfululizo hadi mikono imechoka kubeba.
 
Hawa wakifika Robo fainali si watatembea uchi kabisa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo msanii mkubwa anaemsema yeye Takadini kuwa ni rafk ake na anajua magumu aliyopitia ni huyu DOMOKAYA au yupi?

Ila SOPE ana heka heka tangu atoswe wazi wazi na yule Player kawa km chizi vilee.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dah eti TAKADINI [emoji3][emoji3] Yaani nachukia sana ubaguzi sasa najikuta nacheka.
 
Dah eti TAKADINI [emoji3][emoji3] Yaani nachukia sana ubaguzi sasa najikuta nacheka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwanza huyu naonaga wanamchekea na anawakuta anaowacharuaga ni wamepooza, angekutana na mtu km mie ningemuoshaaa angekuwa wa zambarau na sio ile rangi ya chekundu mpauko.

Mxxieeeeeew zake.
 
Hayo mambo yanaweza ku-matter ikiwa kombe ni either la mashindano ya CAFCL au CAFCC, kwa kombe hili la ligi ji kupoteza muda na wala habari haiwezi kwenda viral.

Namaanisha uwekezaji kwenye ushangiliaji wa aina hiyo ni zaidi hata ya hela mnazopata.
Pesa ni za GSM wewe unateseka na nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…