Yanga inaongoza kukuza vipaji na kutambulisha wachezaji kimataifa

Yanga inaongoza kukuza vipaji na kutambulisha wachezaji kimataifa

bryan2

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2016
Posts
3,323
Reaction score
4,679
Ni bahati mbaya tu Yanga inakosa kama wahenga walivyopata kusema tenda wema nenda zako usisubiri ahsante waliona mbali kwani ukisubiri ahsante unaweza kuishia kula matusi, dharau hata kupigwa.

Kwa Soka letu hili halina ubishi yanga ndio klabu inayoongoza kwa kuibua na kukuza vipaji vya wachezaji wengi ila mwisho wa siku wanaondoka vibaya pale Yanga, mchezaji anakuja Yanga akiwa Zero then akiwa hero anaanza dharau na viburi juu.

Hawa ni wachezaji ambao Yanga iliwapika vizuri na kuwa ni viwango bora ila mwisho wake hawakuondoka vizuri.

Metacha Mnata. japo kakiri kosa na kurudi.

Feisal Salum.

Vicent Bousou.

Frank Domayo

Ngoma

Chirwa

Haruna Niyonzima

Papy Kabamba

Saido Ntibanzonkiza

Benard Morrison japo karudi Kundini

Ben Kakolanya...nk

Wapo wengi tu.
 
Imeuza wangapi kwenye ligi kubwa Africa au kwenye MABARA mengine? Maana hicho ndio kipimo
 
Yanga ndio Industry ya mpira Kwa hapa bongo chin ya
Best coach...prof. Nab

Japo Kuna watakaopinga
1672052878672.jpg
 
Ni bahati mbaya tu Yanga inakosa kama wahenga walivyopata kusema tenda wema nenda zako usisubiri ahsante waliona mbali kwani ukisubiri ahsante unaweza kuishia kula matusi, dharau hata kupigwa...
yanga tangu enzi wako vizuri sana, imeweza kuwatangaza wachezaji mahiri kimataifa kama vile Jama Mba, Yikpe, Sarpong, Juma Balinya, Mkata Umeme wa Zambia, na wengineo wengi
 
Ni bahati mbaya tu Yanga inakosa kama wahenga walivyopata kusema tenda wema nenda zako usisubiri ahsante waliona mbali kwani ukisubiri ahsante unaweza kuishia kula matusi, dharau hata kupigwa...
Hivyo ni vipaji ambavyo vilikuwepo. Yanga ingekuwa inakuza vipaji, nitajie kipaji kimoja tu kilichotokea timu ya watoto.

Huwezi kusema umemsajili mchezaji wa miaka 22 halafu eti umekuza kipaji chake, vipaji vya watoto ndivyo hukuza
 
Yanga ndiyo imeibua na kukuza vipaji vya hao wachezaji uliowataja? Unajua Maana ya kuibua na kukuza au unajisemea tu? Hao uliowataja wamekuja Yanga wakiwa watu wazima na midevu yao halafu wewe unasema Yanga imewaibua.

Kuwa shabiki wa uto bila kuwa hamnazo haiwezekani ?

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Ni bahati mbaya tu Yanga inakosa kama wahenga walivyopata kusema tenda wema nenda zako usisubiri ahsante waliona mbali kwani ukisubiri ahsante unaweza kuishia kula matusi, dharau hata kupigwa...
Na kweli tumemuona Mudathir jinsi leo alivyokua mtamu kuliko hata alivyokuaga azam...sasa akiendelea kutulia na kupikwa hapa balaa litazidi watakuja watu mbio mbio kutaka kumharibia....naye anaweza akavimba kichwa akawasikiliza!
 
Nyuzi zingine ziwe zinapotelea hewa asee!!, Yanga toka lini imekuza vipaji vya wacheazaji Nchi hii?. Simba na Yanga wapo kuchukua cream iliyokwisha tengenezwa na timu nyingine....
 
Back
Top Bottom