Yanga inapata faida kweli kucheza ligi kuu tu, huku kimataifa hawapo?

Wewe naona ni mojawapo wa wale Manara aliowasema ukiondoa Mzee Kikwete na Baba yake Manara Sunday Manara.Kumfunga Simba ndio mafanikio?Manara hamnazo lakini kwenye hili hakukosea.
 
Simba ilifika nusu fainali ya Klabu bingwa ya Afrika mwaka 1974.
Na ikafika tena fainali ya kombe la Wawakilishi 1993.
Kwa hiyo usifikiri mafanikio hayo yameanza 2019.
Au umeanza kufuatilia mpira 2019?
Kwahiyo ukichukua mwaka 1936 ukatoa miaka ambayo timu imefanya vizuri utaona kuna takribani miaka 80 timu haikufanya vyema, je Simba hiyo miaka 80 haikufanya usajili? Je walipataje faida ikiwa hawakufanya vizuri kwenye michuano ya kimataifa?
 
Mshindi wa ligi kuu Tanzania bara anachukua million 500.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…