kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Kama mwana Simba lialia niseme ukweli Yanga inaumiza hisia zetu sana. Tumekuwa ni wa kusubiri Yanga ifungwe lakini wapi!
Sisi tunadondosha alama Yanga inabeba zote. Tumekuwa watu wa kutafuta visingizio vya hapa na pale kupooza mioyo yetu kuhusu ushindi wa Yanga, ili hata kuwatoa waamuzi mchezoni lakini wapi!
Tuliamini Mayele hatafunga tena lakini ndiyo kama gari limewaka, inaumiza sana.
Sisi Simba tukubali tu hatuna kikosi, mashabiki oya oya, uongozi wa kishikaji!
Nachukia kuitwa Ngada FC.
Sisi tunadondosha alama Yanga inabeba zote. Tumekuwa watu wa kutafuta visingizio vya hapa na pale kupooza mioyo yetu kuhusu ushindi wa Yanga, ili hata kuwatoa waamuzi mchezoni lakini wapi!
Tuliamini Mayele hatafunga tena lakini ndiyo kama gari limewaka, inaumiza sana.
Sisi Simba tukubali tu hatuna kikosi, mashabiki oya oya, uongozi wa kishikaji!
Nachukia kuitwa Ngada FC.