kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Utopolo mkubwa wewe.Kama mwana simba lialia niseme ukweli yanga inaumiza hisia zetu sana. Tumekuwa ni wa kusubiri yanga ifungwe lakini wapi.
Sisi tunadondosha point yanga inabeba zote. Tumekuwa watu wa kutafuts visingizio vya hapa na pale kupooza mioyo yetu kuhusu ushindi wa yanga ili hata kuwatoa waamuzi mchezoni lakini wapi
Tuliamini Mayele hatafunga tena lakini ndio kama gari limewaka inaumiza sana
Sisi simba tukubali tu hatuna kikosi mashabiki oya oya uongozi wa kishikaji
Nachukia kuitwa ngada fc
We kolo hasira za nini? hii yanga wewe unaiweza?Utopolo mkubwa wewe.
Hakuna mwana Simba anayeshtuka na michezo ya kuigiza ya utopolo.
Kama mwana simba lialia niseme ukweli yanga inaumiza hisia zetu sana. Tumekuwa ni wa kusubiri yanga ifungwe lakini wapi.
Sisi tunadondosha point yanga inabeba zote. Tumekuwa watu wa kutafuts visingizio vya hapa na pale kupooza mioyo yetu kuhusu ushindi wa yanga ili hata kuwatoa waamuzi mchezoni lakini wapi
Tuliamini Mayele hatafunga tena lakini ndio kama gari limewaka inaumiza sana
Sisi simba tukubali tu hatuna kikosi mashabiki oya oya uongozi wa kishikaji
Nachukia kuitwa ngada fc
Na kesho mvua ikinyesha tu kule Mbeya! Tunadondosha pointi 3 nyingine! Mwaka mwingine mgumu huu kwa wana msimbazi.Kama mwana simba lialia niseme ukweli yanga inaumiza hisia zetu sana. Tumekuwa ni wa kusubiri yanga ifungwe lakini wapi.
Sisi tunadondosha point yanga inabeba zote. Tumekuwa watu wa kutafuts visingizio vya hapa na pale kupooza mioyo yetu kuhusu ushindi wa yanga ili hata kuwatoa waamuzi mchezoni lakini wapi
Tuliamini Mayele hatafunga tena lakini ndio kama gari limewaka inaumiza sana
Sisi simba tukubali tu hatuna kikosi mashabiki oya oya uongozi wa kishikaji
Nachukia kuitwa ngada fc
Alikuwa aondoke tena leo na mpira!Huyu mayele ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Tuwe wakweli tu nduguUmeshiba mihogo mibichi umekuja kujaza kinyesi jf
Mwisho wa msimu anazawadiwa ng'ombe"Mayele si mtu wa kawaida, ni jini"
Walisikika makolo kwenye kikao cha ulanzi
Mihogo weweTukubali ukweli wanasimba wenzangu tuache kejeli
Kesho simba anakipiga siyoNa kesho mvua ikinyesha tu kule Mbeya! Tunadondosha pointi 3 nyingine! Mwaka mwingine mgumu huu kwa wana msimbazi.