OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Wiki iliyopita Ghazwat alileta uzi humu akishangazwa na tabia ya Yanga kuharibu log za timu zingine hasa zenye logo nyekundu.
Wadau na wanamichezo walikerwa na matukio hayo yasiyo ya kimichezo na kuishauri Yanga iache mara moja tabia hiyo. Baada ya malalamiko hayo Yanga ikajirekebisha na hatimaye mechi kati yake na Coastal Union waliweka logo nyekundu.
Leo kwenye official page yao wameweka tangazo la mechi kati yake na Simba Sc ajabu wamechakachua logo ya Simba Sc na kuondoa rangi nyekundu.
Baada ya mashabiki wa page yao kushangazwa na jambo hili wakaona isiwe tabu wakabadilisha tangazo. Cha kushangaza tena wameandika jina la Simba Sc kichoko sana badala ya jina kamili la club hiyo.
Najiuliza hiki ni kilabu cha pombe au club ya mpira inayoshiriki ligi kuu?
Wadau na wanamichezo walikerwa na matukio hayo yasiyo ya kimichezo na kuishauri Yanga iache mara moja tabia hiyo. Baada ya malalamiko hayo Yanga ikajirekebisha na hatimaye mechi kati yake na Coastal Union waliweka logo nyekundu.
Leo kwenye official page yao wameweka tangazo la mechi kati yake na Simba Sc ajabu wamechakachua logo ya Simba Sc na kuondoa rangi nyekundu.
Baada ya mashabiki wa page yao kushangazwa na jambo hili wakaona isiwe tabu wakabadilisha tangazo. Cha kushangaza tena wameandika jina la Simba Sc kichoko sana badala ya jina kamili la club hiyo.
Najiuliza hiki ni kilabu cha pombe au club ya mpira inayoshiriki ligi kuu?