Pia wewe ni MhayaSijawahi tumia FB, pia Mimi sio kilaza Nina Degree ya Accountant iko certified kabisa CPA, pia nina Msc finance and accounting ( university of Cambridge) kati ya Mm na ww nani kilaza?
Bwashee unamwambia au unamuuliza? 🤣🤣🤣Pia wewe ni Mhaya
Wewe umeona wapi timu misimu mitatu yote imefungwa mechi tatu tu, hiyo ligi au ujingaKama umefuatilia mechi za Yanga karibuni utagundua wakicheza na timu dhaifu au vibonde wanakamia na kuzipopoa goli nyingi kwelikweli ila wakikutana na timu za super league wanaufyata
Hili tunaita soka la papatu papatu pangu pakavu pwagu na pwaguzi maana kama huna mikakati ya kupata ushindi mnono dhidi ya vigogo wakubwa utaishia kuwafuma vibonde na kuwaonea hao tu hufiki popote ndugu yangu
Tumeona leo tena wadogo zetu Namungo walivyokuwa wahanga wa soka fumanizi la janja janja, Wamekula 3
Yanga kama kweli wababe, tuone hayo makali kwenye klabu bingwa Afrika.
Bayern Liverkusern kafungwa mechi ngapi mpka sasa?Wewe umeona wapi timu misimu mitatu yote imefungwa mechi tatu tu, hiyo ligi au ujinga
Soka la Janjajanja likoje?Kama umefuatilia mechi za Yanga karibuni utagundua wakicheza na timu dhaifu au vibonde wanakamia na kuzipopoa goli nyingi kwelikweli ila wakikutana na timu za super league wanaufyata
Hili tunaita soka la papatu papatu pangu pakavu pwagu na pwaguzi maana kama huna mikakati ya kupata ushindi mnono dhidi ya vigogo wakubwa utaishia kuwafuma vibonde na kuwaonea hao tu hufiki popote ndugu yangu
Tumeona leo tena wadogo zetu Namungo walivyokuwa wahanga wa soka fumanizi la janja janja, Wamekula 3
Yanga kama kweli wababe, tuone hayo makali kwenye klabu bingwa Afrika.