NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Mimi ni simba ila naunga mkono huu uzi kwa 100%, Yanga wapo vizuri kila idaraUkitazama kwa jicho la kimpira utakubaliana na mimi ya kuwa klabu ya Yanga itafika mbali zaidi ya ilipofikia Simba kwenye michuano hii ya CAF.
Ikumbukwe Yanga inashiriki kombe la shirikisho Afrika ambalo mwaka jana Simba alifika robo fainali, ila hakuna klabu yoyote nchini iliyowahi kuvuka nusu fainali iwe klabu bingwa au kombe la shirikisho ambalo limeanzishwa na caf mwaka 2004.
Hivyo tusishangae tukiona Yanga ikichukua kombe hili la shirikisho na kuiletea nchi yetu heshima kubwa.
View attachment 2544029
Weka matokeo ya TP MAZEMBE vs VIPERSa
akatandikwa na vipers kotekote club bingwa
Kwa kumfunga Mazembe iliyochoka na Bamako?Mimi ni simba ila naunga mkono huu uzi kwa 100%, Yanga wapo vizuri kila idara
Uhuru Kwa Sasa na wakati huo 1993 Taifa.Wewe ni kijana wa juzi, iko hivi kabla ya 1992 mashindano ya Afrika yalikuwa ni mawili tu yaani African Cup of Champions Clubs ambayo ndio Sasa tunaita Caf Champions league na African Cup Winner's Cup ambalo sasa ndio tunaita Shirikisho.
Ni kweli mwaka 1992 Caf walianzisha shindano lingine la tatu ambalo linaitwa
Caf cup ndilo hili Simba alifika fainali iyo mwaka 1993 na kupoteza hapa hapa nyumbani Uwanja wa uhuru kwa goli 2-0 dhidi ya Stella Abidjan
Na niwakumbushe tu kuwa huo mwaka 1993, Al Ahly ndio walikuwa mabingwa wa African Cup Winner' s Cup Kwa kumfunga Africa Sports National goli 1-0 na kuwa Mabingwa wa Afrika kwa mashindano hayo yaliyokuwa na hadhi ya pili barani Afrika.
Ni upotoshaji wa kimakusudi kusema Simba amewahi kufika fainal kombe lenye Hadhi ya pili Kwa ukubwa barani Afrika maana hata Caf wenyewe hawana hizo taarifa ninyi mnazitoa wapi?
Labda kama utataka kujifuza zaidi nikueleweshe nini mantiki ya kuanzisha kombe hili la Caf Cup na washiriki wake walikuwa wanapatikana vipi
Halikua shirikisho Bali winners cupMimi ni mwananchi halisi lakini sioni aibu kusema Simba ilishafika fainali ya kombe la shirikisho na kupoteza Kwa Stella Artois1993. Mchezo ulichezwa Kwa siku mbili. Wenye kumbukumbu nzuri tukumbusheni
Ongezea Simba na AzamKwa kumfunga Mazembe iliyochoka na Bamako?
Umeleza kifasaha kabisa humu vijana wajuzi wanaokota taarifa kijiweni wanaleta hapa wamefanya hivi forum imekuwa ya hivyo sana.Wewe ni kijana wa juzi, iko hivi kabla ya 1992 mashindano ya Afrika yalikuwa ni mawili tu yaani African Cup of Champions Clubs ambayo ndio Sasa tunaita Caf Champions league na African Cup Winner's Cup ambalo sasa ndio tunaita Shirikisho.
Ni kweli mwaka 1992 Caf walianzisha shindano lingine la tatu ambalo linaitwa
Caf cup ndilo hili Simba alifika fainali iyo mwaka 1993 na kupoteza hapa hapa nyumbani Uwanja wa uhuru kwa goli 2-0 dhidi ya Stella Abidjan
Na niwakumbushe tu kuwa huo mwaka 1993, Al Ahly ndio walikuwa mabingwa wa African Cup Winner' s Cup Kwa kumfunga Africa Sports National goli 1-0 na kuwa Mabingwa wa Afrika kwa mashindano hayo yaliyokuwa na hadhi ya pili barani Afrika.
Ni upotoshaji wa kimakusudi kusema Simba amewahi kufika fainal kombe lenye Hadhi ya pili Kwa ukubwa barani Afrika maana hata Caf wenyewe hawana hizo taarifa ninyi mnazitoa wapi?
Labda kama utataka kujifuza zaidi nikueleweshe nini mantiki ya kuanzisha kombe hili la Caf Cup na washiriki wake walikuwa wanapatikana vipi
Si Kama makombe ya hedex na tusker tu!Wapindisha historia mpoooo! Itikieni basi!! Mwisho wa siku itasikia wanasema hiyo 1993 yalikuwa ni Bonanza! Chuki na wivu ni vitu vibaya sana.
Hiyo ndiyo ikasababisha hadi Rais akaacha shughuli yake kuja uwanjani? Hadi mdhamini akatoa ahadi za magari kwa wachezaji?Si Kama makombe ya hedex na tusker tu!
Mkuu upo vizuri.. Kumbe tunapotoshwa sana na hawa wachambuzi, paka kuna vilaza wa Simba wanaamini wao ni kaimu bingwa wa mashindano ya pili Kwa ukubwa barani Afrika iyo 1993Wewe ni kijana wa juzi, iko hivi kabla ya 1992 mashindano ya Afrika yalikuwa ni mawili tu yaani African Cup of Champions Clubs ambayo ndio Sasa tunaita Caf Champions league na African Cup Winner's Cup ambalo sasa ndio tunaita Shirikisho.
Ni kweli mwaka 1992 Caf walianzisha shindano lingine la tatu ambalo linaitwa
Caf cup ndilo hili Simba alifika fainali iyo mwaka 1993 na kupoteza hapa hapa nyumbani Uwanja wa uhuru kwa goli 2-0 dhidi ya Stella Abidjan
Na niwakumbushe tu kuwa huo mwaka 1993, Al Ahly ndio walikuwa mabingwa wa African Cup Winner' s Cup Kwa kumfunga Africa Sports National goli 1-0 na kuwa Mabingwa wa Afrika kwa mashindano hayo yaliyokuwa na hadhi ya pili barani Afrika.
Ni upotoshaji wa kimakusudi kusema Simba amewahi kufika fainal kombe lenye Hadhi ya pili Kwa ukubwa barani Afrika maana hata Caf wenyewe hawana hizo taarifa ninyi mnazitoa wapi?
Labda kama utataka kujifuza zaidi nikueleweshe nini mantiki ya kuanzisha kombe hili la Caf Cup na washiriki wake walikuwa wanapatikana vipi
Na baada mechi akawaita Kichwa cha mwendawazimu? Aisee hili Neno kumbe Simba ndio mwanzilishi wake? utopolo og wewe ni peponi Moja Kwa Moja Leo umenifungua macho. Na kuanzia leo sibishani na wendawazimu ambao Hadi raisi wa nchi aliona uwendawazimi waoHiyo ndiyo ikasababisha hadi Rais akaacha shughuli yake kuja uwanjani? Hadi mdhamini akatoa ahadi za magari kwa wachezaji?
Uzuri makombe hawajawahi chukuaAcha uongo na rekodi za mchongo, yaani unataka kufuta rekodi za Simba kirahisi hivyo?
1. Simba ilifika hatua ya Fainali ya Kombe la CAF mwaka 1993
2. Simba ilifika hatua ya Nusu Fainali ya Klabu Bingwa Afrika mwaka 1974
View attachment 2544038
Nilidhani umeweka point za kusapoti maelezo yako kumbe utopolo mtupu...Ukitazama kwa jicho la kimpira utakubaliana na mimi ya kuwa klabu ya Yanga itafika mbali zaidi ya ilipofikia Simba kwenye michuano hii ya CAF.
Ikumbukwe Yanga inashiriki kombe la shirikisho Afrika ambalo mwaka jana Simba alifika robo fainali, ila hakuna klabu yoyote nchini iliyowahi kuvuka nusu fainali iwe klabu bingwa au kombe la shirikisho ambalo limeanzishwa na caf mwaka 2004.
Hivyo tusishangae tukiona Yanga ikichukua kombe hili la shirikisho na kuiletea nchi yetu heshima kubwa.
View attachment 2544029
Ndio maana wewe ni utopolo... nakushauri achana na mpira ila nenda kaangalie rangi iliyopakwa pale jangwani ikikauka. Utainjpi zaidi kuliko mpiraTp Mazembe ni timu ya pili yenye mafanikio makubwa barani Afrika baada ya Al Ahly, bingwa mara 6 Afrika na amekugaragaza mara zote ulizokutana naye hadi mechi za kirafiki
Kila laheri wawakilishi...Ukitazama kwa jicho la kimpira utakubaliana na mimi ya kuwa klabu ya Yanga itafika mbali zaidi ya ilipofikia Simba kwenye michuano hii ya CAF.
Ikumbukwe Yanga inashiriki kombe la shirikisho Afrika ambalo mwaka jana Simba alifika robo fainali, ila hakuna klabu yoyote nchini iliyowahi kuvuka nusu fainali iwe klabu bingwa au kombe la shirikisho ambalo limeanzishwa na caf mwaka 2004.
Hivyo tusishangae tukiona Yanga ikichukua kombe hili la shirikisho na kuiletea nchi yetu heshima kubwa.
View attachment 2544029
Mkuu fafanua zaidiWewe ni kijana wa juzi, iko hivi kabla ya 1992 mashindano ya Afrika yalikuwa ni mawili tu yaani African Cup of Champions Clubs ambayo ndio Sasa tunaita Caf Champions league na African Cup Winner's Cup ambalo sasa ndio tunaita Shirikisho.
Ni kweli mwaka 1992 Caf walianzisha shindano lingine la tatu ambalo linaitwa
Caf cup ndilo hili Simba alifika fainali iyo mwaka 1993 na kupoteza hapa hapa nyumbani Uwanja wa uhuru kwa goli 2-0 dhidi ya Stella Abidjan
Na niwakumbushe tu kuwa huo mwaka 1993, Al Ahly ndio walikuwa mabingwa wa African Cup Winner' s Cup Kwa kumfunga Africa Sports National goli 1-0 na kuwa Mabingwa wa Afrika kwa mashindano hayo yaliyokuwa na hadhi ya pili barani Afrika.
Ni upotoshaji wa kimakusudi kusema Simba amewahi kufika fainal kombe lenye Hadhi ya pili Kwa ukubwa barani Afrika maana hata Caf wenyewe hawana hizo taarifa ninyi mnazitoa wapi?
Labda kama utataka kujifuza zaidi nikueleweshe nini mantiki ya kuanzisha kombe hili la Caf Cup na washiriki wake walikuwa wanapatikana vipi