Yanga itaenda kuvunja rekodi zote zilizowekwa na Simba kimataifa

Ukiingia google ukatafuta orodha ya mabingwa wa CAF confederation cup na timu zilizokuwa runner's up kwenye hilo kombe, huwezi kukutana na timu ya Simba kwenye hiyo orodha kwasababu CAF cup sio CAF confederation cup
Yanga hamna akili

Ulitaka uikute Simba kwenye list ya mabingwa, wakati hajawai kuchukua kombe la shirikisho.

Sisi tunasema tumewahi fika fainali, sasa kama wewe unasema hayo mashindano ya Winner's cup na CAF cup hayatambuliki, nimekuletea list ya timu zilichokuwa hayo mataji, ikiwa kwa mnavyodai shirikisho lilianza 2004
 
Sasa hiki ndicho nilichoeleza mini huyo jamaaa yenu kapuyanga.

Yeye anasema kombe la shirikisho limetokana na kombe la CAF winners. Wakati uhalisia ni limetokana na muunganiko wa CAF winners na CAF cup.
Uliyem Quote wala hakusema kuwa kombe la shirikisho limetokana na kombe la CAF winners. Kasome post namba 113 vizuri umuelewe alichoongea.
 
Sasa kama mtu unakataa kuwa Simba haijafika fainali shirikisho kwa kigezo kuwa mashindano yale yalikuwa ni CAF cup na sio kombe la shirikisho, basi mkatae kuwa nanyinyi utopolo hamjawahi kutwaa makombe 28 ya ligi kuu Tz bara maana halikuitwa hivyo
 
Uliyem Quote wala hakusema kuwa kombe la shirikisho limetokana na kombe la CAF winners. Kasome post namba 113 vizuri umuelewe alichoongea.
Mnakuja na hoja za kijinga kabisa, haya tujikite kwenye hoja kuu
 
Kuna sehemu nimesema kuwa mashindano ya CAF hayatambuliki? Nilichokisema mimi ni kuwa CAF cup ni tofauti na CAF confederation cup na ndio maana ukitafuta historia ya waliochukua kombe na waliofika fainali ya CAF confederation cup huwezi kuona Simba. Mada iliyoletwa hapa na mleta uzi ni Yanga kuwa ndio timu ya kwanza kucheza nusu fainali ya CAF confederation cup kwa Tanzania. Mkampinga mkidai kuwa Simba alishawahi kucheza fainali ya michuano hiyo mwaka 1993 kitu ambacho sio sahihi. Simba alicheza fainali ya CAF cup na sio CAF confederation cup.
 
Timu iliyotufunga fainali iko hapo kama mabingwa wa kombe la shirikisho. Uto leteni hoja nyingine
 
Bingwa aliyechukua 1993 yupo hapo kwenye list ya mabingwa wa shirikisho, na huyo ndiye tuliyecheza naye fainali.
 
Sasa kama mtu unakataa kuwa Simba haijafika fainali shirikisho kwa kigezo kuwa mashindano yale yalikuwa ni CAF cup na sio kombe la shirikisho, basi mkatae kuwa nanyinyi utopolo hamjawahi kutwaa makombe 28 ya ligi kuu Tz bara maana halikuitwa hivyo
Kwanini haijawahi kutwaa makombe 28 ya ligi kuu bara?
 
Tutumie tu akili ya kawaida ili twende sawa juu ya uongo na ukweli wa source yako ya taarifa. Je kabla ya mwaka 2004 CAF walikuwa na michuano inayotambulika kwa CAF confederation cup?
 
Chanzo ulichokitumia sio sahihi, naomba unijibu je kabla ya mwaka 2004 CAF waliwahi kuwa na michuano inayoitwa CAF confederation cup?
Yanga haijawahi kuchukua makombe 28 ya ligi kuu Tanzania bara, ikiwa mashindano hayo yalianza 1997
 
Tutumie tu akili ya kawaida ili twende sawa juu ya uongo na ukweli wa source yako ya taarifa. Je kabla ya mwaka 2004 CAF walikuwa na michuano inayotambulika kwa CAF confederation cup?
Yanga haijawahi kuchukua makombe 28 ya ligi kuu Tanzania bara
 
Yanga haijawahi kuchukua makombe 28 ya ligi kuu Tanzania bara, ikiwa mashindano hayo yalianza 1997
Tutafika tu mkuu kwenye ukweli. Haya niambie kabla ya mwaka 1997 ligi ya Tanzania bara haikuwepo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…