Yanga jipangeni kisaikolojia, Oktoba 19 kipigo hakiepukiki

Yanga jipangeni kisaikolojia, Oktoba 19 kipigo hakiepukiki

Kohava

Member
Joined
Mar 22, 2024
Posts
45
Reaction score
50
Mashabiki wa Kandambili mkae mkijua mechi ya Oktoba 19 kipigo kinawasubiri, LUNYASI tupo tayari, tumejipanga ipasavyo kutoa kipigo Cha mbwa Mwizi.

Siku hiyo mtatoka Lupaso vichwa chini, Utopolo mtutusamehe, mtasambaratika. Kipigo hicho kitaleta matokeo Hasi kwa Yanga, hatimaye timu itasuswa na GSM hivyo Mzee MAGOMA atarudishiwa timu yake.

Uongozi wa Magoma utainusuru timu na kuiwezesha kufanya vizuri zaidi katika mashindano ya Klabu Bingwa CAF.
 
Mashabiki wa Kandambili mkae mkijua mechi ya Oktoba 19 kipigo kinawasubiri, LUNYASI tupo tayari
, tumejipanga ipasavyo kutoa kipigo Cha mbwa Mwizi. Siku hiyo mtatoka Lupaso vichwa chini, Utopolo mtutusamehe, mtasambaratika. Kipigo hicho kitaleta matokeo Hasi kwa Yanga, hatimaye timu itasuswa na GSM hivyo Mzee MAGOMA atarudishiwa timu yake. Uongozi wa Magoma utainusuru timu na kuiwezesha kufanya vizuri zaidi katika mashindano ya Klabu Bingwa CAF.
Baada ya gemu usije kumlaumu mangungu au mchezaji yeyote kuwa duka ameuza gemu.
 
We Huogopi
FB_IMG_17280307427693251.jpg
 
Mashabiki wa Kandambili mkae mkijua mechi ya Oktoba 19 kipigo kinawasubiri, LUNYASI tupo tayari, tumejipanga ipasavyo kutoa kipigo Cha mbwa Mwizi. Siku hiyo mtatoka Lupaso vichwa chini, Utopolo mtutusamehe, mtasambaratika. Kipigo hicho kitaleta matokeo Hasi kwa Yanga, hatimaye timu itasuswa na GSM hivyo Mzee MAGOMA atarudishiwa timu yake.

Uongozi wa Magoma utainusuru timu na kuiwezesha kufanya vizuri zaidi katika mashindano ya Klabu Bingwa CAF.
Mashabiki wa nyuma mwiko huwa mnajua kutuchota mashabiki wa Simba.

Mimi nimekataa kuingia kwenye 18 za propaganda zenu za kipuuzi.Mechi ni ngumu mwenye bahati ndiye atashinda
 
Mashabiki wa Kandambili mkae mkijua mechi ya Oktoba 19 kipigo kinawasubiri, LUNYASI tupo tayari, tumejipanga ipasavyo kutoa kipigo Cha mbwa Mwizi. Siku hiyo mtatoka Lupaso vichwa chini, Utopolo mtutusamehe, mtasambaratika. Kipigo hicho kitaleta matokeo Hasi kwa Yanga, hatimaye timu itasuswa na GSM hivyo Mzee MAGOMA atarudishiwa timu yake.

Uongozi wa Magoma utainusuru timu na kuiwezesha kufanya vizuri zaidi katika mashindano ya Klabu Bingwa CAF.
Ndotoo ya mchanaaa.
 
Back
Top Bottom