Baada ya gemu usije kumlaumu mangungu au mchezaji yeyote kuwa duka ameuza gemu.Mashabiki wa Kandambili mkae mkijua mechi ya Oktoba 19 kipigo kinawasubiri, LUNYASI tupo tayari
, tumejipanga ipasavyo kutoa kipigo Cha mbwa Mwizi. Siku hiyo mtatoka Lupaso vichwa chini, Utopolo mtutusamehe, mtasambaratika. Kipigo hicho kitaleta matokeo Hasi kwa Yanga, hatimaye timu itasuswa na GSM hivyo Mzee MAGOMA atarudishiwa timu yake. Uongozi wa Magoma utainusuru timu na kuiwezesha kufanya vizuri zaidi katika mashindano ya Klabu Bingwa CAF.
Mashabiki wa nyuma mwiko huwa mnajua kutuchota mashabiki wa Simba.Mashabiki wa Kandambili mkae mkijua mechi ya Oktoba 19 kipigo kinawasubiri, LUNYASI tupo tayari, tumejipanga ipasavyo kutoa kipigo Cha mbwa Mwizi. Siku hiyo mtatoka Lupaso vichwa chini, Utopolo mtutusamehe, mtasambaratika. Kipigo hicho kitaleta matokeo Hasi kwa Yanga, hatimaye timu itasuswa na GSM hivyo Mzee MAGOMA atarudishiwa timu yake.
Uongozi wa Magoma utainusuru timu na kuiwezesha kufanya vizuri zaidi katika mashindano ya Klabu Bingwa CAF.
Ndotoo ya mchanaaa.Mashabiki wa Kandambili mkae mkijua mechi ya Oktoba 19 kipigo kinawasubiri, LUNYASI tupo tayari, tumejipanga ipasavyo kutoa kipigo Cha mbwa Mwizi. Siku hiyo mtatoka Lupaso vichwa chini, Utopolo mtutusamehe, mtasambaratika. Kipigo hicho kitaleta matokeo Hasi kwa Yanga, hatimaye timu itasuswa na GSM hivyo Mzee MAGOMA atarudishiwa timu yake.
Uongozi wa Magoma utainusuru timu na kuiwezesha kufanya vizuri zaidi katika mashindano ya Klabu Bingwa CAF.
Mimi SIMBA damu damu ila YANGA atatupiga kono la NYANI kama kawaidaMimi Yanga damu ila Simba watashinda 2