Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Simba imewaudhi mashabiki zake kwa kuwadanganya kuwa raundi ya 2 watakamata usukani na kuendeleza yale ya msimu uliopita kwa kubeba ubingwa, kilichopo sasa ni dhahiri mtani amenyanyua makwapa, kuna uwezekano mkubwa kuzuka kwa mgogoro ndani ya timu, inaonekana watu wa mpira Simba wamepotea, akina Kassim Dewji tunaowategemea kuleta mabadiliko hawawezi tena kwenda na kasi, wamezidiwa mbinu na watoto wa mjini Yanga wakimtumia sana Albino Manara.
Njia pekee ya Simba kurudisha angalau aman ndani ya timu ni kugawana furaha na yanga hiyo jumamosi, bila hapo ni ugomvi tu kwenda mbele.
Hilo halina shaka..Kitu pekee kitakacho wanusuru Simba tarehe 28 ni ulozi. Kwakua Simba inashika rekodi ya JUJU barani Afrika Kwa ngazi ya vilabu
Hatuwezi jua , yawezekana hata wewe mwenyewe ni mloziJuju sc jiandaeni kupelekewa moto.
Tutaweza kweli?Simba imewaudhi mashabiki zake kwa kuwadanganya kuwa raundi ya 2 watakamata usukani na kuendeleza yale ya msimu uliopita kwa kubeba ubingwa, kilichopo sasa ni dhahiri mtani amenyanyua makwapa, kuna uwezekano mkubwa kuzuka kwa mgogoro ndani ya timu.
Inaonekana watu wa mpira Simba wamepotea, akina Kassim Dewji tunaowategemea kuleta mabadiliko hawawezi tena kwenda na kasi, wamezidiwa mbinu na watoto wa mjini Yanga wakimtumia sana Albino Manara.
Njia pekee ya Simba kurudisha angalau aman ndani ya timu ni kugawana furaha na yanga hiyo jumamosi, bila hapo ni ugomvi tu kwenda mbele.