Yanga kama ni kweli mmegomea mechi yenu kurushwa hewan imetuvunja moyo mashabiki wa mikoani

vevenononombo

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2015
Posts
1,289
Reaction score
421
Kuna ujumbe unasambazwa mitandaoni kuwa mechi ya Leo haitakuwa hewani kiukweli kama ndivyo hivyo mtakuwa mnekosea sana
 
Yanga japo ni mshabiki wao lakin hii tabia sihipendi ata kidogo, wenyewe mechi ikiwa bongo kama ya kimataifa bas haitarushwa na wao ndio wanaweka pingamizi… bas wangekuwa ata wanaongea na warushaji kuwa nje ya mkoa wa Dar na Pwani ndio wapate ili wa hapo wakaangalie uwanjan lakin ata sie huku wa mabondeni jaman…!! Aaaaahhhh
 
HAPO NDIO TIMU YANGU INANIKERA KWA MIMI LEO NITAENDA TAIFA ILA KWA ALIYE SONGEA ANAKUWA HAJATENDEWA HAKI
 
Yanga wapo sahihi kwani maandili ya mechi ni pesa nyingi isitoshe hao tv wanawapa malipo kiduchu kama kweli mnaipenda yanga nendeni uwanjani mkaishangilie
 
Yanga wapo sahihi kwani maandili ya mechi ni pesa nyingi isitoshe hao tv wanawapa malipo kiduchu kama kweli mnaipenda yanga nendeni uwanjani mkaishangilie


Hayo mawazo ya kizamani, mpira duniani kote unarushwa na TV. Yanga haijawahi kuonyesha juhudi zozote ili mechi zao zirushwe. Ipo radhi iweke mgomo baridi ambapo hatimaye mechi irushwe bureeeee!!!
 
Huu ni upumbavu sasa (kama ni kweli)
Maana leo nimejiandaa kwelikweli kuangalia mechi.
Ikiwa ndivyo sivyo Mzee Akilimali na wenzie waachie ngazi,tumechoka Club kuendeshwa kizamani.
 
Huu ni upumbavu sasa (kama ni kweli)
Maana leo nimejiandaa kwelikweli kuangalia mechi.
Ikiwa ndivyo sivyo Mzee Akilimali na wenzie waachie ngazi,tumechoka Club kuendeshwa kizamani.
Mzee Akilimali sio kiongozi wa Yanga ni mwanachama wa kawaida
 
Mzee Akilimali sio kiongozi wa Yanga ni mwanachama wa kawaida
Najua,lakini unakumbuka kipindi cha mechi ya Yanga vs Al-Ahly Mzee Akilimali alivyoweka ngumu mechi isioneshwe?
 
Hao ndio wa kimataifa.Wanaishi karne ya 19.wanataka wahesabiwe karne ya 21.
 
Yanga wamedhihirisha kuwa wao sio wa kimataifa wao ni wa bwawani...
 
Kama pesa ndogo nawaunga mkono tatizo watu tunapenda kulalama hatuangalii maslahi hawa wanyonyaji wakizoea kuwanyonya kinachofuata ni dharau kuna umihimu wa kujithamini wenyewe utakuta game inaonyeshwa mnachopata ni sawa anacholipwa Msanii wa bongo fleva kwa show mbili tu ni upuuzi.
 
Mzee Akilimali sio kiongozi wa Yanga ni mwanachama wa kawaida
Mzee Akilimali ni kweli sio kiongozi wa Yanga lakini ana influence kubwa mno kuliko unavyodhani na kuna mengi ambayo ukielezwa kuhusu Akilimali hutaamini.

Nifah ako bored leo,ha ha ha ha.
Yanga ni primitive balaa
 
wanaonaga wenyewe Dar es salaam ndo Tanzania huko kwengine sijui ni Tanganyika
 
ajabu mtu yupo mtwara,anashabikia timu ya Dar salaam,mbona hatujifunzi kutoka Ulaya kama wewe niwa mji wa SEVILA SPAIN basi timu yako ni Sevila f.c na siyo shabiki wa timu za mji wa Madrid.ndo maana wamikoani mmetelekeza timu zenu mnashoboka na tim za Dar.
 
Mzee Akilimali ni kweli sio kiongozi wa Yanga lakini ana influence kubwa mno kuliko unavyodhani na kuna mengi ambayo ukielezwa kuhusu Akilimali hutaamini.

Nifah ako bored leo,ha ha ha ha.
Yanga ni primitive balaa
Zaidi ya bored.....
Nasikiliza tu kupitia radio hapa..
Yanga ni vile naipenda tu,otherwise sijui ingekuwaje kwa huu upopoma wa leo.

Nashukuru kwa kumuelewesha huyo mtu,Mzee Akilimali mimi namjua sana tu,na influence yake kwa Club hasa katika mambo makubwa hivi naijua.
Rejea mechi yetu dhidi ya Al-Ahly hapa nyumbani.
 
Tunakokwenda itabidi Yanga iwe ya wanadarisalama tu. Tusapoti timu za mijini mwetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…