Vawulence
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 1,930
- 2,118
Baada ya mchakato wa Yanga kuwa kampuni kupitishwa na Serikali, sasa timu itakuwa 51% inamilikiwa na wanachama na 49% inamilikiwa na muwekezaji/wawekezaji.
Binafsi ninatarajia kuona yafuatayo;
1. Yanga ikiishi kwenye kivuli cha Simba kwa kufuata nyayo zilezile za Simba walimopita.
2. Thamani ya club ya Yanga kuonekana kwa dau litakalowekwa na Muwekezaji. Tayari tunajua 41% ya Simba ni 20 billion.
3. Hakuna muwekezaji/wawekezaji wenye ubavu wa kuweka zaidi ya 10 billion. I bet. Sana sana GSM wataweka sio zaidi ya 5 billion.
4. Yanga sasa itaenda kutafunwa kisawasawa kwani wawekezaji watataka kurudisha hela yao.
5. Mfumo wa kuwa na Rais wa club utaondoa ujanja ujanja na huenda Yanga ikafanya vizuri kama watachagua mtu sahihi mwenye maono.
6. Yanga nao wataanza mchakato wa kujenga uwanja wao hali itakayoifanya TFF "walale njaa" na kubuni namna mpya ya kunyonya vilabu.
7. Itakuwa mwanzo wa enzi mpya ya soka la Tanzania iliyoanzishwa na Simba.
8.........
Binafsi ninatarajia kuona yafuatayo;
1. Yanga ikiishi kwenye kivuli cha Simba kwa kufuata nyayo zilezile za Simba walimopita.
2. Thamani ya club ya Yanga kuonekana kwa dau litakalowekwa na Muwekezaji. Tayari tunajua 41% ya Simba ni 20 billion.
3. Hakuna muwekezaji/wawekezaji wenye ubavu wa kuweka zaidi ya 10 billion. I bet. Sana sana GSM wataweka sio zaidi ya 5 billion.
4. Yanga sasa itaenda kutafunwa kisawasawa kwani wawekezaji watataka kurudisha hela yao.
5. Mfumo wa kuwa na Rais wa club utaondoa ujanja ujanja na huenda Yanga ikafanya vizuri kama watachagua mtu sahihi mwenye maono.
6. Yanga nao wataanza mchakato wa kujenga uwanja wao hali itakayoifanya TFF "walale njaa" na kubuni namna mpya ya kunyonya vilabu.
7. Itakuwa mwanzo wa enzi mpya ya soka la Tanzania iliyoanzishwa na Simba.
8.........