Yanga katika vita kubwa Kombe la Shirikisho leo

namaliza bando langu tu mkuu link yako magumashi
 
Kipindi cha kwanza 3 je cha pili itakuwaje.. dah wameshikwa mno leo
 
Huu mchezo....!


Wanafundishwa namna yakufunga ukipata nafasi.

hapa nyumbani walikosa nafasi za wazi kibao.....ulikuwa upuuzi.

leo wanapewa elimu ya maana yakufungs unapopata nafasi
 
Wanafundishwa namna yakufunga ukipata nafasi.

hapa nyumbani walikosa nafasi za wazi kibao.....ulikuwa upuuzi.

leo wanapewa elimu ya maana yakufungs unapopata nafasi

Inawezekana wewe ni SIMBA lakini nakubaliana na wewe kwa kauli hii...Defence pia YANGA wana matatizo..sijui yule BOSOU yuko wapi kwani simuoni...Canavaro timing yake mbovu kabisa...YONDANI pia mzito...Beki Kushoto hopeless, hasaidii kuleta mashambulizi...kiungo anayelisha mipira kwa Ngoma hayupo...Kamusokko kwangu ndiye aliyecheza vizuri kwa kipindi cha kwanza...
 
kwa kweli jaan wamefungwa kwa mbinde. wamekufa kiume. kama mpira Yanga walitadaza mpira wakufa mtu. bahati tu haikuwa yao pamoja na mwamuzi kuwanyonga sana. pia wachezaji wa Yanga wengi walikuwa wanaonekana wamechoka pengine walipuliziwa dawa vyumbani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…