Kuna shabiki wao anajiita shetani wa yanga amedai malaika waje wavae pensi watafungwa na yanga hii.
Kuna shabiki mwingine akijinadi amesema akisema malaika wake tunawasema wana kufuru kwa hiyo yeye ameomba waje mashetani wapigwe goli.
Hiki kiburi ni cha pesa tu za gsm au nini?
Maana kipa alikuwa anafanya assist tu ili mumfunge
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Kuna shabiki mwingine akijinadi amesema akisema malaika wake tunawasema wana kufuru kwa hiyo yeye ameomba waje mashetani wapigwe goli.
Hiki kiburi ni cha pesa tu za gsm au nini?
Maana kipa alikuwa anafanya assist tu ili mumfunge
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app