Yanga kuelekea msimu mpya

Mkuu kama katiba tayari, na wadau pamoja washabiki tayari wamesharidhia. Hivi unataka kuniambia mchakato wa kuifanya kuwa kampuni ina mlolongo kiasi gani mpaka ishindwe kukamirisha hilo jambo kwa wakati?
 
Sarakasi za GSM na ubabaishaji wa viongozi wa Yanga ukiwa unaendelea kujionesha. Waendeshaji wa timu ya Yanga hawako serious kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…