mchawi wa kusini
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 830
- 898
Wakati unaandika huu uzi wako ulikuwa ndiyo unajiandaa kwenda kuwanga bila shaka.Habari ya usiku huu wana JF Hapo hakuna cha zaidi ya kusema kuwa Yanga jumamosi anaenda kulitia albu Taifa la Tanzania.
Sababu ya kwanza Tanzania Hakuna timu ya kuifunga hiyo timu. Timu za Tanzania zinabebwa na Marefa washenzi washenzi Wanao haribu Mpira kwa Mapenzi yao binafsi.
Maoni; TFF toeni adhabu kali kwa marefa wa Tanzania ili Kutengeneza Timu zilizo bora.
Naunga mkono hojaALiyeanzisha huu uzi ataukimbia
Wewe sio mungu sisi ndio Yanga SC wewe 😂😂Habari ya usiku huu wana JF Hapo hakuna cha zaidi ya kusema kuwa Yanga jumamosi anaenda kulitia albu Taifa la Tanzania.
Sababu ya kwanza Tanzania Hakuna timu ya kuifunga hiyo timu. Timu za Tanzania zinabebwa na Marefa washenzi washenzi Wanao haribu Mpira kwa Mapenzi yao binafsi.
Maoni; TFF toeni adhabu kali kwa marefa wa Tanzania ili Kutengeneza Timu zilizo bora.