Yanga: kuifundisha Simba jinsi ya kushinda popote

Kuna U-TURN mpaka unajiuliza inawezekanaje?

Imagine kutoka kuwa wa kwanza kuleta kombe nchini mpaka kushinda ugenini. Sijui ni yale mafataki yapo vichwani?
Ile mimoshiii mchezoooo? Inavuruga akili balaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mmecheza na team nyepesi mlitakiwa mbebe kombe nyie

Ova
 
Halafu anawapa wenye akili kubwa kombe
Nadhani uliona performance kubwa ya Wananchi.....sema tu figisu nyingi


Ukiona Hadi raisi wa nchi ana wa acknowledge Yanga.....ujue kazi sio ya kitoto
 
Nadhani uliona performance kubwa ya Wananchi.....sema tu figisu nyingi


Ukiona Hadi raisi wa nchi ana wa acknowledge Yanga.....ujue kazi sio ya kitoto
Haina maana kama ndoo inakwenda mahali kwingine,performance ilitakiwa ireflect the fate
 
Ila Kuna viper .....big bullets na horoya..... wabovu watupu [emoji23]
horoya alimtoa asec mimosas aliyefika nusu kwenye kombe lenu la andazi cup,vipers akamtoa mazembe halafu sisi simba tukawagonga wote wawili asec na vipers
 
horoya alimtoa asec mimosas aliyefika nusu kwenye kombe lenu la andazi cup,vipers akamtoa mazembe halafu sisi simba tukawagonga wote wawili asec na vipers
Lkn mkaishia robo
 
Hiko ndicho kilichobaki!? Kwa hiyo Simba ajifunze kufungwa hatua ya awali klabu bingwa ili aangukie shirikisho akacheze na KMC na Biashara za Uarabuni!?
Mkuu unaakili balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…