Yanga kuifunga Simba 5 imekuwa kichaka cha wao kupanga matokeo yoyote kwenye timu zao

Yanga kuifunga Simba 5 imekuwa kichaka cha wao kupanga matokeo yoyote kwenye timu zao

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Wadau wa soka wanaona jinsi soka linavyonajisiwa na hawa wapenda sifa.

Hata hivyo kipimo kizuri ni mechi za kimataifa.Wana historia ya kuwa bingwa mara nyingi lakini historia yao kimataifa ni mbovu kuliko sifa wanazozibeba hapa nchini.

Kila wakipanga matokeo,wana post matokeo ya 5-1 ambayo nayo yaliwezekana kwa kuwarubuni baadhi ya wachezaji wa Simba na hatimae wakawasajili kwenye timu yao.

Uhuni kama huo,ni hulka ya wasomali wala hatuwezi kushangaa.
Kuna namna mpira unachezwa kama vyama vya siasa vinavyopambania uchaguzi.

Haya mambo yanakuja kwa uwezekano wa kuwepo wanasiasa wanaomiliki ukwasi uliochepushwa kutoka hazina na ukaingozwa kwenye soka ili kulisha viburi vyao.Soka Tanzania sio tu mpira dimbani.
Soka ni uhuni,uchawi,na ibada kwa wenye viburi.

Kuifunga Simba goli 5 -1 ulikuwa kama msingi wa kunyamazisha kelele zote zinazokemea unajisi wa soka nchini.
Watu hao ni watu wa propaganda kupita kiasi.Ila ndio waharibifu namba 1 wa soka letu.

Pesa za kununua dawa zahanati,zinatakatishwa kulipa wachezaji wa nje halafu mnawapa mechi za maigizo.

Inasikitisha sana.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Wadau wa soka wanaona jinsi soka linavyonajisiwa na hawa wapenda sifa.

Hata hivyo kipimo kizuri ni mechi za kimataifa.Wana historia ya kuwa bingwa mara nyingi lakini historia yao kimataifa ni mbovu kuliko sifa wanazozibeba hapa nchini.

Kila wakipanga matokeo,wana post matokeo ya 5-1 ambayo nayo yaliwezekana kwa kuwarubuni baadhi ya wachezaji wa Simba na hatimae wakawasajili kwenye timu yao.

Uhuni kama huo,ni hulka ya wasomali wala hatuwezi kushangaa.
Kuna namna mpira unachezwa kama vyama vya siasa vinavyopambania uchaguzi.

Haya mambo yanakuja kwa uwezekano wa kuwepo wanasiasa wanaomiliki ukwasi uliochepushwa kutoka hazina na ukaingozwa kwenye soka ili kulisha viburi vyao.Soka Tanzania sio tu mpira dimbani.
Soka ni uhuni,uchawi,na ibada kwa wenye viburi.

Kuifunga Simba goli 5 -1 ulikuwa kama msingi wa kunyamazisha kelele zote zinazokemea unajisi wa soka nchini.
Watu hao ni watu wa propaganda kupita kiasi.Ila ndio waharibifu namba 1 wa soka letu.

Pesa za kununua dawa zahanati,zinatakatishwa kulipa wachezaji wa nje halafu mnawapa mechi za maigizo.

Inasikitisha sana.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Bodi ya wakurugenzi SBS ni makolo na ndugu yake mwamedi yumo

Wewe umefungwa mara nne mfululizo kutia ndani kipigo cha mbwa mwizi cha goli 5
Je na wewe ulihongwa
 

Attachments

  • markup_1000103295.png
    markup_1000103295.png
    1.4 MB · Views: 1
Baada ya 5-1, Mnyama alipigwa 2-1 round ya pili nayo kuna wachezaji walirubuniwa Sheikh?! Ngao ya jamii Mnyama alilala tena 1-0, hapo ni msimu mpya na hao waliotumiwa kuhujumu timu hawakuepo vipi ilikuaje mkapigwa tena?! Ligi kuu msimu huu round ya kwanza mmepigwa tena 1-0, hapo nani aliuza mechi maana wachezaji wote wapya au ni Camara mwenye clean sheets nyingi kuliko golikipa yoyote msimu huu?! Kuna muda unatakiwa tu kukaa kimya maana hii kuongea ongea ni kuwapa watu faida ya kujua kiwango cha ujinga ulichohifadhi kichwani mwako ambapo ilitakiwa iwe siri yako peke yako
 
Watu mnatetea Singida as if ni team solid sana wakati kmc kampiga kiulaini goli mbili
Kasare na kagera yenye hali mbaya halafu kufungwa na yanga inaonekana mipango kwanza nawalaumu yanga maana walipaswa kuwapiga hata 5 sema nao hofu za kuonekana wamepanga matokeo zimewaathiri
Trh 08 itajulikana wapi matokeo hupangwa
 
Wadau wa soka wanaona jinsi soka linavyonajisiwa na hawa wapenda sifa.

Hata hivyo kipimo kizuri ni mechi za kimataifa.Wana historia ya kuwa bingwa mara nyingi lakini historia yao kimataifa ni mbovu kuliko sifa wanazozibeba hapa nchini.

Kila wakipanga matokeo,wana post matokeo ya 5-1 ambayo nayo yaliwezekana kwa kuwarubuni baadhi ya wachezaji wa Simba na hatimae wakawasajili kwenye timu yao.

Uhuni kama huo,ni hulka ya wasomali wala hatuwezi kushangaa.
Kuna namna mpira unachezwa kama vyama vya siasa vinavyopambania uchaguzi.

Haya mambo yanakuja kwa uwezekano wa kuwepo wanasiasa wanaomiliki ukwasi uliochepushwa kutoka hazina na ukaingozwa kwenye soka ili kulisha viburi vyao.Soka Tanzania sio tu mpira dimbani.
Soka ni uhuni,uchawi,na ibada kwa wenye viburi.

Kuifunga Simba goli 5 -1 ulikuwa kama msingi wa kunyamazisha kelele zote zinazokemea unajisi wa soka nchini.
Watu hao ni watu wa propaganda kupita kiasi.Ila ndio waharibifu namba 1 wa soka letu.

Pesa za kununua dawa zahanati,zinatakatishwa kulipa wachezaji wa nje halafu mnawapa mechi za maigizo.

Inasikitisha sana.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Bado mnaendelea kujivua nguo ata aibu amna? Wakati mnabebwa na marefa kutafutiwa ushindi wa lazima Msemaji wenu alisema pale tff Kuna sanduku la maoni wanaopiga kelele wapeleke maoni yao pale, Na mlikuwa mnakenua na Mmoja wao ni wewe uku mkisema huo ndio ubaya ubwela,,sasa mnaanza kubweka kama mbwa Kila Kona kwasababu zipi? Si mkae kimya Kila timu ishinde mechi zake tuone mwisho wa msimu nani bingwa!
 
Back
Top Bottom