AahaaaaChochote kifanyike ili makolo
Mkimbie nchi mhamie hata Burundi kwa muda
Sent using Jamii Forums mobile app
wanawake mna maneno mengiMnyonge akimpatia mwenye nguvu tabu kweli..ila hatushangai kwasababu washabiki wengi wa yanga ni wanawake,hii ni kwamujibu wa tafiti...inamaaana hata wanaume wengi wa yanga wanaelements za kike.
Ilianzishwa Sunderland sio simbaKwani simba ilianzishwa mwaka gani?
Hii simba tuliyonayo sasa yenyewe imeanzishwa?Ilianzishwa Sunderland sio simba
Ilianzishwa Queens, baadaye ndiyo ikawa Sunderland ambayo ndiyo iliyobadilishwa kuwa Simba nadhani mwaka 1971Ilianzishwa Sunderland sio simba
Kula chuma hicho.Imebakia kuvaa vigodoro vya 5G π€£ π€£ π€£ π€£ πΈ πΈ πΈ πΈ
.Chochote kifanyike ili makolo
Mkimbie nchi mhamie hata Burundi kwa muda
Sent using Jamii Forums mobile app
Upupu...Kula chuma hicho.
bado sana hamjasema nyie...hizi 5G zita tayaya mpk mwisho wa msimu shwaini nyieKama mnavyojua timu za uswahilini haziishi heka heka.Ushindi iliopata yanga ni wa kihistoria.Hawakuwahi kuifunga Simba Sports club goli nyingi kama hivyo.
Ushindi mkubwa waliishinda Sunderland ndio maana ushindi huu kwao ni tukio la karne.
Wataongozwa kuvaa khanga hizo na Ali kamwe huku wakipepea leso zilizoandikwa 5G.
Tunawatakia kila la heri katika kusherehekea ushindi huo kwa timu kubwa sana Afrika.Hii itawasaidia ninyi kujitambulisha kwa wakubwa wenzetu Afrika na duniani.
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Kunywa maji mengi upunguze maumivuMnyonge akimpatia mwenye nguvu tabu kweli..ila hatushangai kwasababu washabiki wengi wa yanga ni wanawake,hii ni kwamujibu wa tafiti...inamaaana hata wanaume wengi wa yanga wanaelements za kike.
Image mpaka huyo kiongozi wao anayeitwa engineer wa umbe amepeleka umbea southafrika