Wakipekee
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 6,194
- 10,711
Kabla ya msimu huu kuanza ingekua ngumu kuamini Yanga itakua imepoteana kiasi cha kua kama togwa la kwenye harusi Kila mtu anajichotea tu..
Kwanza pre season pale south Africa, Yanga ilionekana kua timu tishio baada ya kucheza soka la kuvutia na kupata matokeo mazuri dhidi ya Kaizer Chiefs kwa kuwapiga bao nne bila, pia licha ya kufungwa na Augsburg timu toka ligi kuu ya ujerumani kwa 2-1 lakini Yanga ilitandaza soka safi...
Yanga ilianza ligi kwa staili ambayo haikua ya kuvutia japo ilikua ikipata matokeo hadi pale ilipigwa na Azam fc, baada ya hapo graph ya Yanga ilianza kwenda chini kwa spidi ya lami na kugongwa kama kengele.
Nilikua siamini kama Yanga imeshuka kiwango ila kwa nilichokiona Jana nimekubali Yanga ni janga kwa sasa Kila mtu atajipigia vinginevyo yanahitajika mabadiliko ya fasta..
Kwa maoni yangu kosa la Yanga ni kujiita "mtoto wa mama" kuchanganya siasa na mpira kwa masilahi ya watu wachache haya ndo madhara yake. Na bado nahisi Kuna maumivu makubwa zaidi yanakuja msimu huu tutazidi kupoteana.
Goli la mama halichezi mpira acheni ujinga wenu, mbona timu ikipoteza mechi hao Wanasiasa hukaa kimya? Ila ikishinda sasa... na msimu huu tusipokua makini tutaliza namba nne....
Nini kifanyike !??? Ili watoto wa mama wasiteseke ? Itabidi tujifunze mbinu za "kushinda kwa kishindo..."
Kwanza pre season pale south Africa, Yanga ilionekana kua timu tishio baada ya kucheza soka la kuvutia na kupata matokeo mazuri dhidi ya Kaizer Chiefs kwa kuwapiga bao nne bila, pia licha ya kufungwa na Augsburg timu toka ligi kuu ya ujerumani kwa 2-1 lakini Yanga ilitandaza soka safi...
Yanga ilianza ligi kwa staili ambayo haikua ya kuvutia japo ilikua ikipata matokeo hadi pale ilipigwa na Azam fc, baada ya hapo graph ya Yanga ilianza kwenda chini kwa spidi ya lami na kugongwa kama kengele.
Nilikua siamini kama Yanga imeshuka kiwango ila kwa nilichokiona Jana nimekubali Yanga ni janga kwa sasa Kila mtu atajipigia vinginevyo yanahitajika mabadiliko ya fasta..
Kwa maoni yangu kosa la Yanga ni kujiita "mtoto wa mama" kuchanganya siasa na mpira kwa masilahi ya watu wachache haya ndo madhara yake. Na bado nahisi Kuna maumivu makubwa zaidi yanakuja msimu huu tutazidi kupoteana.
Goli la mama halichezi mpira acheni ujinga wenu, mbona timu ikipoteza mechi hao Wanasiasa hukaa kimya? Ila ikishinda sasa... na msimu huu tusipokua makini tutaliza namba nne....
Nini kifanyike !??? Ili watoto wa mama wasiteseke ? Itabidi tujifunze mbinu za "kushinda kwa kishindo..."