Yanga kujipima nguvu na Mbuni FC, Transit Camp na Friends Rangers

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Kuna watu wana mzaha sana, Simba ilipoenda kuweka kambi Misri, Ashura cheupe akaponda sana, akasema mnapoteza muda, mlienda shopping, wachambuzi wajinga wajinga wakaunga mkono, Leo matunda yameonekana, Simba players are very confident. Wana enjoy game, hawana woga, ghafla De Agosto kapasuka kwao yanakuja maneno timu gan mmecheza nayo, timu ya mchongo, Simba inabebwa Caf, Namungo alimpiga 6 huyo.

Ashura cheupe anazidi kuwatia ujinga pale anapowaambia hata wakifuzu kwa waangola, kwenye ligi ya bongo tarehe 23 wataendeleza kipigo kama kawa, muoneeni huruma injinia, wametumia mabilioni ya shilingi kusajili wachezaji kwa ajili ya michuano ya kimataifa na sio ligi ya ndani, hivi yanga aondoshwe mapema hao akina Aziz Ki watakuwa na faida gani, kucheza na Ihefu?

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
 
Yanga n kichwa Cha mwendawazimu alichosema Rais mwinyi

Haitaki kujifunza kwa makosa

Timu imewekeza mdomoni Sana kuliko uwanjan

Sasa utaangukia shirikisho ikutane na de agosto halafu wajue ugumu

Yanga n sikio la kufa

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ashura cheupe once said….

Yanga wenye akili pale ni Mstaafu JK na nani sijui, wengine wote “salamaleko”
 
Mambumbumbu wenzangu toka MAKOLOKOLO FC chonde chonde tusijisahau sana maana mwisho wa safari yetu hauko mbali sana [emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…