kwich kwich
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 366
- 105
Yanga wakijiandaa vizuri waarabu wanatoka...
Etoile ni timu nzuri lakini inafungika...
Mkuu hivi hawa ndo waliomtapeliga okwi??
Ndiyo ni hao hao.
Nasikia Simba wamejipanga kuwakamata wasitoke Bongo hadi walipe USD 300,000 za uhamisho wa Okwi kama walivyoamriwa na FIFA.
Wapendwa wangu
Hakokatimu kamepuputika.wachezajiwote mahiri mliowajua. kama yanga wataancha uzandikiwao wanawatoa mngeona mechiyakwanza waangola walowachezea kwahamu
Kingine mjue wachezaji wanafamili nawanajua. kolahatua kunahelayake SASA vioongoozi mkifanyahapo sehemuyA kutolea shidazenu mnapigwa mimba
Labdaniwaambie ilemechi walitokakwapenalti wangeshinda..walihaidiwa ammount MPAKA aftaimu Chekizipo wahusika wakuandikawapo wakapgppa unahisi niño.....
Wapendwa wangu
Hakokatimu kamepuputika.wachezajiwote mahiri mliowajua. kama yanga wataancha uzandikiwao wanawatoa mngeona mechiyakwanza waangola walowachezea kwahamu
Kingine mjue wachezaji wanafamili nawanajua. kolahatua kunahelayake SASA vioongoozi mkifanyahapo sehemuyA kutolea shidazenu mnapigwa mimba
Labdaniwaambie ilemechi walitokakwapenalti wangeshinda..walihaidiwa ammount MPAKA aftaimu Chekizipo wahusika wakuandikawapo wakapgppa unahisi niño.....
Ndiyo ni hao hao.
Nasikia Simba wamejipanga kuwakamata wasitoke Bongo hadi walipe USD 300,000 za uhamisho wa Okwi kama walivyoamriwa na FIFA.