Yanga kumlipa Yikppe law kuvunja mkataba

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,420
Reaction score
18,298
Yanga imetakiwa kumlipa Yikpe $9000 na kumlipa mshahara wa miezi 3 ili kuvunja mkataba
 
Wakati mwingine nikiona wale viongozi wa Yanga na maamuzi wanayofanya ni kama hawajawahi hata kusoma kabisa shule
 
Suala la kuvunja mkataba sio la ajabu sana lipo dunia nzima inatokea unamsajili mchezaji anakuja kuwa kinyume na matarajio ya timu. Kama namba zipo sahihi hiyo ni kama TZS 27M japo mishahara ya miezi mitatu haijajumlishwa hapo. Kwa uwezo mdogo alioonyesha Yikpe hiyo ni gharama ndogo sana kuuvunja huo mkataba. Yanga inatakiwa imlipe haraka sana asije akapata wajanja wakamshtua adai pesa ndefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…