Yanga kunyimwa penalti

Mchezo wa soka Tanzania una waamuzi 3, kosa kubwa katika tukio hili liko kwa mwamuzi wa pembeni (Line 1) ambaye tukio lilikuwa upande wake kabisa lakini hakuwa makini kumsaidia refa wa kati. Siku za karibuni naona waamuzi wa pembeni ndio wanoongoza kuboronga kwenye maamuzi na sisi tunasahau tunawalaumu waamuzi wa kati. Goli la Simba la juzi ni miongoni mwa maamuzi ya ovyo ya washika vibendera.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnafungwa na Mtibwa jumanne alafu jmosi mnapigwa na Lipuli
Bado mtakuwa hamjafikia points za simba, halafu kwa ushindi wenu wa 1-0 huku mkihaha kulinda goli kipigo chenu hakiko mbali.
 
Unahangaika na watu wa Yanga utachoka tu.

Wanalalamika hovyo hovyo kwa kila kitu.Marefa hata ulaya wanafanya makosa ndiyo maana waliweka vitu kama goal line technology na VAR.Sasa unavyoongea na hawa vyura wasiojua hata jina la coach wao, shule hakuna, utajichosha tu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yanga punguzeni sasa kwenye mpira. Mnataka waamuzi wachezeshe mpira mnavyotaka nyie? Au furaha yenu ni kuna simba inafungwa? Mbona juzi hamkulalamika simba ilipopigwa? Chezeni.mpira wacheni kuwatia pesha waamuzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…