YANGA KUPIGWA FAINI MILIONI 128

YANGA KUPIGWA FAINI MILIONI 128

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
13934983_1590868140927598_167256715889916292_n.png

Yanga inakabiliwa na faini ya Sh milioni 128 kwa uzembe wa kuchelewa kufanya usajili wake kwenye mtandao wa kimataifa (TMS). Yanga ambayo tayari utetezi wake umetua Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), iwapo utakubaliwa klabu hiyo ya mtaa wa Jangwani italazimika kumlipia kila mchezaji dola za Marekani 500 na klabu hiyo ina wachezaji 27 ambao italazimika kuwalipia dola za Marekani 13500 (sawa na Sh milioni 128).
 
13934983_1590868140927598_167256715889916292_n.png

Yanga inakabiliwa na faini ya Sh milioni 128 kwa uzembe wa kuchelewa kufanya usajili wake kwenye mtandao wa kimataifa (TMS). Yanga ambayo tayari utetezi wake umetua Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), iwapo utakubaliwa klabu hiyo ya mtaa wa Jangwani italazimika kumlipia kila mchezaji dola za Marekani 500 na klabu hiyo ina wachezaji 27 ambao italazimika kuwalipia dola za Marekani 13500 (sawa na Sh milioni 128).
Hivi 500x27x2200 utapata 128 tu au wao wanathaminisha $1 na shilingi ngapi za kitanzania...?
 
We bila Shaka uligonga F ya hesabu.
hakufanya kabisa angefanya hata huo mtihani asingeleta haya mahesabu take hovyo hovyo...
Kifupi yanga watatakiwa kulipa takribani million 29,7....
 
Hizi hesabu za mwendokasi. Haizidi million 30!
 
si ilikodishwa? atalipa mpangaji! na siku ingine waache kupanga magofu.
 
Wacha walipe tu team imeishaingia kwenye migigoro hiyo na manji ndio anawatua jamba jamba
 
Back
Top Bottom