Yanga kurudisha kiwango chake itumie 'uncommon sense'

Yanga kurudisha kiwango chake itumie 'uncommon sense'

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Katika hali ya kawaida Yanga wamechanganyikiwa kutokana na vipigo 3 mfululizo, wachezaji, viongozi na mashabiki wamepotenza confidence uwanjani.

Ili kuwarejeshea wachezaji morali na kujiamini lazima benchi la ufundi litumie wachezaji wote ambao walikuwa hawapati nafasi huko nyuma (uncommon sense); yaani akina Mkude, Kibwana, Sureboy, Shehani, Nkane, Musonda, Baleke, chama na wengine kutoka timu ya vijana kwenye first eleven mpya, na wale ambao waliokuwa first eleven ya kwanza (common sense) waingie kama sub (wachezaji wa akiba).

Mbinu hii itaamsha morali kwa wachezaji wote kwenye timu kwa wakati mmoja.

Yanga imetoa wachezaji wengi mno kwenye timu za mataifa yao, na kuyawezesha mataifa yao (Tanzania, Uganda, Bukina Faso, Mali, Zambia) kufuzu kwenda Morocco.

Walitumia nguvu nyingi sana kufanikisha jambo hilo. Wana fatigue ya muda tu. Mbinu hii itasaidia kuwapunzisha na kuwarudishia wachezaji hamu ya kucheza mpira.
 
Katika hali ya kawaida Yanga wamechanganyikiwa kutokana na vipigo 3 mfululizo, wachezaji, viongozi na mashabiki wamepotenza confidence uwanjani. Ili kuwarejeshea wachezaji morali na kujiamini lazima benchi la ufundi litumie wachezaji wote ambao walikuwa hawapati nafasi huko nyuma (uncommon sense); yaani akina Mkude, Kibwana, Sureboy, Shehani, Nkane, Musonda, Baleke, Chama na wengine kutoka timu ya vijana kwenye first eleven mpya, na wale ambao waliokuwa first eleven ya kwanza (common sense) waingie kama sub (wachezaji wa akiba). Mbinu hii itaamsha morali kwa wachezaji wote kwenye timu kwa wakati mmoja.

Yanga imetoa wachezaji wengi mno kwenye timu za mataifa yao, na kuyawezesha mataifa yao (Tanzania, Uganda, Bukina Faso, Mali, Zambia) kufuzu kwenda Morocco. Walitumia nguvu nyingi sana kufanikisha jambo hilo. Wana fatigue ya muda tu. Mbinu hii itasaidia kuwapunzisha na kuwarudishia wachezaji hamu ya kucheza mpira.
Co rahic kihvyo
 
BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ALITUTAJIA MAADUI.

1. UMASIKINI
2.UJINGA.
3. MARADHI.

Akasema Hawa ni maadui wa kweli kweli katika hili Taifa.

LEO 2024 BAADA YA MIAKA 60 TUMEKUWA NA MAADUI WENGI ZAIDI.

2024 maadui wameongeseka Zaidi kuliko wale watatu wa 1961.

1.Umasikini na ufukara.
2.Ujinga na upumbavu.3.Magonwa na Maradhi
4.Mmomonyoko wa Maadili.
ushoga, usagaji Kamali, sugar mamy, sugar Dady mashangazi
5 AJIRA
5. Rushwa na Upendelo

6. USimba na u yanga.
7. Mitandao ya kijamii Tiktok, x, nk
8. Manabii wa uongo na Mashehe Uchwara.
9. Ajali nyingi mno.
10. Gharama kubwa za maisha, ujenzi holela nk

MAMBO NI MENGI SANA VIJANA WA KITANZANIA WANAWAZA MAMBO YA HOVYO SANA SIMBA NA YANGA ZINATAWALA MIKEKA NK.

OKOENI TAIFA LENU LEO.
MKIFIKA MBINGUNI MTAHOJIWA NA MUNGU MLILIFANYIA NINI TAIFA LENU NIMEMALIZA.
 
Co rahic kihvyo
Kama utampa nafasi mchezaji ambae hachezi utapata faida 3 kwa wakati mmoja: Ana fresh legs, ana hamu ya kucheza na atatafuta namba kwa mwalimu. Yule "star" ambae atawekwa benchi nae atapata faida 3 pia; atapata fresh legs, atapata hamu ya kucheza mpira na atahofia kupoteza namba yake.

Mbinu hii inarejesha uimara wa timu uliopotea kwa muda mfupi sana ingawa inaweza kusababisha kupoteza mechi 1 au mbili zaidi. Kwasababu timu pinzani zilizoifunga yanga hazitatamani kubadilisha vikosi vyao vya ushindi, watachoka wakati nyie mnapanda.
 
Kama utampa nafasi mchezaji ambae hachezi utapata faida 3 kwa wakati mmoja: Ana fresh legs, ana hamu ya kucheza na atatafuta namba kwa mwalimu. Yule "star" ambae atawekwa benchi nae atapata faida 3 pia; atapata fresh legs, atapata hamu ya kucheza mpira na atahofia kupoteza namba yake. Mbinu hii inarejesha uimara wa timu uliopotea kwa muda mfupi sana ingawa inaweza kusababisha kupoteza mechi 1 au mbili zaidi. Kwasababu timu pinzani zilizoifunga yanga hazitatamani kubadilisha vikosi vyao vya ushindi, watachoka wakati nyie mnapanda.
Wewe ukipewa timu ndiyo utaipeleka utopolo yako daraja la tatu ngazi ya wilaya kabisa 🤣😂🤣
 
Katika hali ya kawaida Yanga wamechanganyikiwa kutokana na vipigo 3 mfululizo, wachezaji, viongozi na mashabiki wamepotenza confidence uwanjani.

Ili kuwarejeshea wachezaji morali na kujiamini lazima benchi la ufundi litumie wachezaji wote ambao walikuwa hawapati nafasi huko nyuma (uncommon sense); yaani akina Mkude, Kibwana, Sureboy, Shehani, Nkane, Musonda, Baleke, Chama na wengine kutoka timu ya vijana kwenye first eleven mpya, na wale ambao waliokuwa first eleven ya kwanza (common sense) waingie kama sub (wachezaji wa akiba).

Mbinu hii itaamsha morali kwa wachezaji wote kwenye timu kwa wakati mmoja.

Yanga imetoa wachezaji wengi mno kwenye timu za mataifa yao, na kuyawezesha mataifa yao (Tanzania, Uganda, Bukina Faso, Mali, Zambia) kufuzu kwenda Morocco.

Walitumia nguvu nyingi sana kufanikisha jambo hilo. Wana fatigue ya muda tu. Mbinu hii itasaidia kuwapunzisha na kuwarudishia wachezaji hamu ya kucheza mpira.
wakati huo Nkane anatoka kwa kufanyiwa Sub Yanga keshalambwa chuma 3-0 Kwa kosi hilo.
 
BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ALITUTAJIA MAADUI.

1. UMASIKINI
2.UJINGA.
3. MARADHI.

Akasema Hawa ni maadui wa kweli kweli katika hili Taifa.

LEO 2024 BAADA YA MIAKA 60 TUMEKUWA NA MAADUI WENGI ZAIDI.

2024 maadui wameongeseka Zaidi kuliko wale watatu wa 1961.

1.Umasikini na ufukara.
2.Ujinga na upumbavu.3.Magonwa na Maradhi
4.Mmomonyoko wa Maadili.
ushoga, usagaji Kamali, sugar mamy, sugar Dady mashangazi
5 AJIRA
5. Rushwa na Upendelo

6. USimba na u yanga.
7. Mitandao ya kijamii Tiktok, x, nk
8. Manabii wa uongo na Mashehe Uchwara.
9. Ajali nyingi mno.
10. Gharama kubwa za maisha, ujenzi holela nk

MAMBO NI MENGI SANA VIJANA WA KITANZANIA WANAWAZA MAMBO YA HOVYO SANA SIMBA NA YANGA ZINATAWALA MIKEKA NK.

OKOENI TAIFA LENU LEO.
MKIFIKA MBINGUNI MTAHOJIWA NA MUNGU MLILIFANYIA NINI TAIFA LENU NIMEMALIZA.
Mtoa ushauri Anapatikana Jamii Sport na Naona kwenye simu yake ana app kama zote.
 
Katika hali ya kawaida Yanga wamechanganyikiwa kutokana na vipigo 3 mfululizo, wachezaji, viongozi na mashabiki wamepotenza confidence uwanjani.

Ili kuwarejeshea wachezaji morali na kujiamini lazima benchi la ufundi litumie wachezaji wote ambao walikuwa hawapati nafasi huko nyuma (uncommon sense); yaani akina Mkude, Kibwana, Sureboy, Shehani, Nkane, Musonda, Baleke, Chama na wengine kutoka timu ya vijana kwenye first eleven mpya, na wale ambao waliokuwa first eleven ya kwanza (common sense) waingie kama sub (wachezaji wa akiba).

Mbinu hii itaamsha morali kwa wachezaji wote kwenye timu kwa wakati mmoja.

Yanga imetoa wachezaji wengi mno kwenye timu za mataifa yao, na kuyawezesha mataifa yao (Tanzania, Uganda, Bukina Faso, Mali, Zambia) kufuzu kwenda Morocco.

Walitumia nguvu nyingi sana kufanikisha jambo hilo. Wana fatigue ya muda tu. Mbinu hii itasaidia kuwapunzisha na kuwarudishia wachezaji hamu ya kucheza mpira.
Wamalizane na mganga kwanza maana anawachafua sana mitandaoni
 
Katika hali ya kawaida Yanga wamechanganyikiwa kutokana na vipigo 3 mfululizo, wachezaji, viongozi na mashabiki wamepotenza confidence uwanjani.

Ili kuwarejeshea wachezaji morali na kujiamini lazima benchi la ufundi litumie wachezaji wote ambao walikuwa hawapati nafasi huko nyuma (uncommon sense); yaani akina Mkude, Kibwana, Sureboy, Shehani, Nkane, Musonda, Baleke, Chama na wengine kutoka timu ya vijana kwenye first eleven mpya, na wale ambao waliokuwa first eleven ya kwanza (common sense) waingie kama sub (wachezaji wa akiba).

Mbinu hii itaamsha morali kwa wachezaji wote kwenye timu kwa wakati mmoja.

Yanga imetoa wachezaji wengi mno kwenye timu za mataifa yao, na kuyawezesha mataifa yao (Tanzania, Uganda, Bukina Faso, Mali, Zambia) kufuzu kwenda Morocco.

Walitumia nguvu nyingi sana kufanikisha jambo hilo. Wana fatigue ya muda tu. Mbinu hii itasaidia kuwapunzisha na kuwarudishia wachezaji hamu ya kucheza mpira.
Kwani mwaka huu ndio mara yao ya kwanza kutoa wachezaji timu za taifa?
 
Kwani mwaka huu ndio mara yao ya kwanza kutoa wachezaji timu za taifa?
Mwaka huu Kuna mambo 6 makuu yanayoidhoofisha Yanga.
1. Uchovu: Wachezaji wake karibu 11 (bacca, job, mudathir, nondo, shehani, Mzize, Diara, abuya, Aziz, musonda, chama, aucho) kutumia kikamilifu kwenye timu zao za taifa. Michango yao imezioatia ushindi timu zao. Uchovu.
2.. Goli 5: Timu zote zimesajili vizuri kuogopa aibu ya goli 5 za msimu uliopita.
3. Chuki: Timu zimeungana dhidi ya Yanga
4. TFF/Bodi ya ligi: Kuna aina fulani ya u Simba na uyanga kwenye uwendeshaji wa ligi.
5. Majeraha: Wachezaj kuumia (Mzize,faridi, yao, Boka, aucho, Andabwile, diara, bakari, Mkude)
6. Waamuzi: wanachezesha kwa kufuata mapenzi yao ya tangu utotoni na njaa zao.
 
Kumfukuza Gamondi is very uncommon sense to majority. Lakini uncommon sense sasa imezaa common sense, 5-0 mtu kala. Katika hali ya kawaida halikuwa sawa Gamondi kufukuzwa Yanga, lakini watu wameaza kumsau hata wale walikuwa wakitumia mioyo yao kufikiria
 
Katika hali ya kawaida Yanga wamechanganyikiwa kutokana na vipigo 3 mfululizo, wachezaji, viongozi na mashabiki wamepotenza confidence uwanjani.

Ili kuwarejeshea wachezaji morali na kujiamini lazima benchi la ufundi litumie wachezaji wote ambao walikuwa hawapati nafasi huko nyuma (uncommon sense); yaani akina Mkude, Kibwana, Sureboy, Shehani, Nkane, Musonda, Baleke, chama na wengine kutoka timu ya vijana kwenye first eleven mpya, na wale ambao waliokuwa first eleven ya kwanza (common sense) waingie kama sub (wachezaji wa akiba).

Mbinu hii itaamsha morali kwa wachezaji wote kwenye timu kwa wakati mmoja.

Yanga imetoa wachezaji wengi mno kwenye timu za mataifa yao, na kuyawezesha mataifa yao (Tanzania, Uganda, Bukina Faso, Mali, Zambia) kufuzu kwenda Morocco.

Walitumia nguvu nyingi sana kufanikisha jambo hilo. Wana fatigue ya muda tu. Mbinu hii itasaidia kuwapunzisha na kuwarudishia wachezaji hamu ya kucheza mpira.
Kuna kaukweli fulani.
 
Sio rahisi kivipi? uncommon sense kuwachezesha akina Kibwana, Farid, Musonda Mshery imesababisha akina Dube, pakome, mzize na Aziz kuimarika viwango vyao. Akili hii hakuwa nayo Gamondi.
Ila Mkude tunamhitaji kati.
 
Ila Mkude tunamhitaji kati.
Ramadhanivic atumie uncommon sense kumtumia Mkude kuwazuia TP wasifike langoni hasa baada ya Yanga kupata bao la utangulizi. Makocha wanamchukulia poa mkude lakini ni mtu hatari sana uwanjani. Angekuwepo yeye na Kibwana uwanjani Tabora wasingetudhalilisha kiasi kile
 
Ramadhanivic atumie uncommon sense kumtumia Mkude kuwazuia TP wasifike langoni hasa baada ya Yanga kupata bao la utangulizi. Makocha wanamchukulia poa mkude lakini ni mtu hatari sana uwanjani. Angekuwepo yeye na Kibwana uwanjani Tabora wasingetudhalilisha kiasi kile
Ukweli mtupu huo.
 
Back
Top Bottom