Nani anahusika na maandalizi ya uwanja ikiwemo hivyo vyumba?[emoji599] BREAKING NEWS:
Taarifa zinaeleza kuwa klabu ya Yanga haita tumia dressing room za uwanja wa Mkapa baada ya kuikuta kwenye hali mbaya, ripoti zimefika kwa mratibu wa mchezo (coordinator) ambae mpaka sasa ameidhinisha klabu hiyo kutotumia vyumba hivyo. Taarifa zaid itafuata
Source; George JoB
Hahahahaha wanakimbia ile 4-4-2 ?[emoji599] BREAKING NEWS:
Taarifa zinaeleza kuwa klabu ya Yanga haita tumia dressing room za uwanja wa Mkapa baada ya kuikuta kwenye hali mbaya, ripoti zimefika kwa mratibu wa mchezo (coordinator) ambae mpaka sasa ameidhinisha klabu hiyo kutotumia vyumba hivyo. Taarifa zaid itafuata
Source; George JoB
wamepulizia sumu[emoji599] BREAKING NEWS:
Taarifa zinaeleza kuwa klabu ya Yanga haita tumia dressing room za uwanja wa Mkapa baada ya kuikuta kwenye hali mbaya, ripoti zimefika kwa mratibu wa mchezo (coordinator) ambae mpaka sasa ameidhinisha klabu hiyo kutotumia vyumba hivyo. Taarifa zaid itafuata
Source; George JoB
Nilipo ona tu bwana yule yuko ktk kikao na Mo,nikajua tu 4-4-2 itahusikaUongozi wa Yanga uliwasilisha taarifa kwa coordinator kua vyumba vina harufu kali, Hivyo ni hatari kwa wachezaji.
Haiitwi sumu inaitwa 4-4-2 , hahahahahawamepulizia sumu
Hahahahaha..rejea picha za kikao cha juzi cha tajiriBwana gani mzee?[emoji23]
Aina gani?wamepulizia sumu
Nyuma Mwiko ndio wenyeji na ndio wanaoratibu karibia kila kitu kwenye maandalizi ya hii mechi.Nani anahusika na maandalizi ya uwanja ikiwemo hivyo vyumba?
AiseeeeeUongozi wa Yanga uliwasilisha taarifa kwa coordinator kua vyumba vina harufu kali, Hivyo ni hatari kwa wachezaji.
Doublecarbohydrate airrandom spray.Aina gani?
Nani anahusika na maandalizi ya uwanja ikiwemo hivyo vyumba?