Yanga kutua kanda ya ziwa huku wakiwaacha Dar Ngoma na Kamusoko

kirerenya

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2013
Posts
1,696
Reaction score
2,253

Yanga inatarajiwa kuondoka kesho kwa ndege kwenda mkoani Kagera wakipitia Mwanza kwa ajili ya mechi yao ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera.

Yanga inaondoka ikiwa inawaacha jijini Dar es Salaam wachezaji vijana walio katika kikosi cha timu ya taifa ya vijana na wakongwe wawili, Thabani Kamusoko na Donald Ngoma.
Wazimbabwe hao wawili wote ni majeruhi na watabaki jijini Dar es Salaam kuendelea kupata matibabu.

Msemaji wa Yanga, Dismas Ten amesema basi la Yanga limetangulia likiwa na viongozi wakati wachezaji wataondoka kesho.

Salehe Jembe
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…