Naona umepanga kikosi ukiamini Hilal watakuwa wanawasubiri tu golini kwao ndio wawazuie.~ 1 Diarra
~ 2 DJUMA
~ 4 JOB
~ 5 Nondo
~ 6 Joyce
~ 6 Bangala
~ 7 Fei
~ 8 Aucho
~ 11 Benard
~ 9 MAYELE
~ 10 Makambo
Kwanini hivi naamini kikosi hiki kinaweza kuleta ushindi, kwa maana hawa mabwana watazuia sana nyuma kwa hiyo itabidi wachezaji wetu wa pembeni wawe wanapiga ile mipira ya juu kutafuta washambuliaji, na kwenye mipira ya juu wote mnajua Makambo vizuri kwa vichwa. Na mayele naye kidogo.
Na pia sister hii itakuwa inampa Djuma nafasi ya kupanda maana akipanda Fei ana shuka na Fei kukaba anaweza.
~ 1 Diarra
~ 2 DJUMA
~ 4 JOB
~ 5 Nondo
~ 6 Joyce
~ 6 Bangala
~ 7 Fei
~ 8 Aucho
~ 11 Benard
~ 9 MAYELE
~ 10 Makambo
Kwanini hivi naamini kikosi hiki kinaweza kuleta ushindi, kwa maana hawa mabwana watazuia sana nyuma kwa hiyo itabidi wachezaji wetu wa pembeni wawe wanapiga ile mipira ya juu kutafuta washambuliaji, na kwenye mipira ya juu wote mnajua Makambo vizuri kwa vichwa. Na mayele naye kidogo.
Na pia sister hii itakuwa inampa Djuma nafasi ya kupanda maana akipanda Fei ana shuka na Fei kukaba anaweza.