Yanga kuukosa ubingwa TPL miaka 10 ijayo

Ooh. Ahsante kwa kuniweka sawa Mtani.

Duuh! Kumbe Simba inakufariji machungu ya EPL. Si uhame tu huko Arsenal unafanya nini? [emoji12][emoji12]
Ngoja tumpe mda unai emery though siku hizi na mmaindi sana anavyo muweka bench king of the best melody ozil mustafi;Jana ndotoni niliota nimehamia yanga mtani nililia sana hata nilivyozinduka niliendelea kulia.
 
Anakijua na anakiwaza, ila ukumbuke kazi yake kubwa ni kutufurahisha mashabiki wa timu. Na bila kuitaja Yanga huwezi kutufurahisha.

Yeye unafanya kuongea, kuwaza anawaachia ninyi.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Na hapa ingekuwa ndio heading kwenye gazeti lingeuzika sana leo.
 
Ngoja tumpe mda unai emery though siku hizi na mmaindi sana anavyo muweka bench king of the best melody ozil mustafi;Jana ndotoni niliota nimehamia yanga mtani nililia sana hata nilivyozinduka niliendelea kulia.

Umenifanya nicheke ulilia nini sasa badala ushangilie umekuwa mmoja kati ya Mashabiki wa timu ya wananchi.
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Na hapa ingekuwa ndio heading kwenye gazeti lingeuzika sana leo.

Kabisa Mtani, maana ukisoma vichwa vya habari za Yanga na Simba ni burudani sana.

Twende wapi sasa na hapa ndo home. Lazima tuwe wazalendo.
 
Kabisa Mtani, maana ukisoma vichwa vya habari za Yanga na Simba ni burudani sana.

Twende wapi sasa na hapa ndo home. Lazima tuwe wazalendo.
Yah. Hatuna pa kuenda Mtani. Na ndio maana watani wajadi tupo wawili tu.

MIKIA NA TIMU YA WANANCHI 😜😜
 
Umenifanya nicheke ulilia nini sasa badala ushangilie umekuwa mmoja kati ya Mashabiki wa timu ya wananchi.
Kule ulaya na miaka 14 sija nyanyua kwapa mtani sasa ukijumlisha na hii miaka 10 ya manara ntakuwa mgeni wa nani!!! Acha nibaki nyumbani mungu aipushilie mbali ndoto.
 
Kule ulaya na miaka 14 sija nyanyua kwapa mtani sasa ukijumlisha na hii miaka 10 ya manara ntakuwa mgeni wa nani!!! Acha nibaki nyumbani mungu aipushilie mbali ndoto.
Hahahaaa. Ikiwa hivyo unaachana na Ushabiki wa mpira wa miguu unahamia kwenye kitu ingine tu.
 
Shida iko kwa matajiri bro, wewe subiri utaona watakavyomzingua.
Kroenke boss wa arsenal ni bahili sana alafu na kibaya sio mtu wa michezo, mtu mweusi alhaji dangote kila siku anaitaka arsenal sema wanambania sababu ya rangi naamini tungefika nae mbali, maana ni shabiki wa arsenal na huwa analaumu sana timu inavyoendeshwa kizamani mpira wa sasa ni pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…