Agreed!Kiongozi ulichokisema siyokweli?Wakati EPL ikidhaminiwa na Backlays' mdhani aliweka nembo yake kwenye jezi zote za timu za Premier.. Nembo ilikua kwenye bega lakushoto!hivyo kusema Barclays hakuweka nembo yake kwenye jezi sikweli!
...au LiverpoolUnakuta shabiki LA Yanga kindakindaki linapinga logo tu ya rangi Nyekundu halafu unalikuta Kibanda umiza liko mstari wa mbele kelele kama zote limevaa jezi Nyekundu ya Man Utd au Arsenal!!!!!
Karia ataiharibu TFF, mwaka jana Simba aliwapa miezi 2 wajiandae SA, lakini Yanga wakaomba waahirishiwe mechi dhidi ya Ruvu shooting siku 2 akagoma. Sasa Vodacom na Yanga wangekaa wakapatana kama mwaka jana, yeye anachochea vurugu. Mpira asiongoze kiupenzi wake wa Mikia fc.Dp yako pia ni nyekundu,acheni ushamba nyie kwasukwasu
Huyo makamu mwenyekiti wenu mbona nae alikuwa pale tff na kina malinzi mmesahau walichokuwa wanatufanyia simba...malipo ni hapahapa duniani,tulieni dawa iingie vizuriKaria ataiharibu TFF, mwaka jana Simba aliwapa miezi 2 wajiandae SA, lakini Yanga wakaomba waahirishiwe mechi dhidi ya Ruvu shooting siku 2 akagoma. Sasa Vodacom na Yanga wangekaa wakapatana kama mwaka jana, yeye anachochea vurugu. Mpira asiongoze kiupenzi wake wa Mikia fc.
ficha ushamba kila timu ona nembo kwenye tshirt mkonononi na bukuta kanunue utaona ulaya hakuna ujinga wa rangi sasa kila mtu anatumia mfano laliga stander ipo epl wana barclay head of lion ipo uefa ipo carabao ipo n.k:
Ulaya hawana upumbavu wa kuweka nembo ya mdhamini wa ligi kwenye jezi za timu. Barclays Bank haikuwa na na nembo yake kwenye jezi za timu.
Kila timu ina mdhamini wake Wa jezi. Akina Adidas, Puma etc.
hapa ni baafa ya epl kuata wadhamini wengi nakutokiwa na mdhamini mkuu maana ligi inajitoshrleza si kama la liga wao wana satander
Kule kwa Jiweni ushamba ni jadi yetuficha ushamba kila timu ona nembo kwenye tshirt mkonononi na bukuta kanunue utaona ulaya hakuna ujinga wa rangi sasa kila mtu anatumia mfano laliga stander ipo epl wana barclay head of lion ipo uefa ipo carabao ipo n.k
Ulaya hawana upumbavu wa kuweka nembo ya mdhamini wa ligi kwenye jezi za timu. Barclays Bank haikuwa na na nembo yake kwenye jezi za timu.
Kila timu ina mdhamini wake Wa jezi. Akina Adidas, Puma etc.
jifunze nini maana ya logo na rangi ya jeziKule kwa Jiweni ushamba ni jadi yetu